WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema mpaka kufikia Agosti 18, 2022 jumla ya kaya 1002 zenye watu 5,382 zimejiandikisha kwa hiari yao wenyewe kuhama katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro na kuelekea katika Kijiji cha Msomera, Wilayani Handeni eneo ambalo limetengwa na Serikali kwa ajili ya wakazi hao. Ameongeza kuwa kati ya kaya hizo zilizojiandikisha tayari kaya
READ MORENdugu Waandishi wa Habari UTANGULIZI. Kufuatia uzinduzi wa zoezi la ZOEZI LA SENSA YA WATU NA MAKAAZI uliofanywa na Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Rais Wa Zanzibar na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Mheshimiwa Dr. Hussein Ali Mwinyi alioufanya tarehe 8/4/2022 katika ukumbi wa hoteli
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Nathan Chibehe ameibuka kuwa mshindi nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Kilimani Jijini Dodoma baada ya kumshinda aliyekuwa akitetea nafasi hiyo, Herry Kiwaya kufuatia chaguzi zinazoendelea kufanyika ndani ya Chama Cha Mapinduzi CCM. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo Jijini Dodoma uliofanyika katika Jengo la Ofisi ya Chama cha Mapinduzi
READ MORE