HII HAPA RATIBA YA ROBO FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM
- Uncategorized
- February 21, 2022
Shirika la umeme Tanzania (Tanesco) linatarajia kutumia trilioni 4 kwa ajili ya kuweza kutatua changamoto ya umeme kukatika ovyo ikiwemo kununua transfoma imara,mita za umeme pamoja na ununuaji wa nguzo.Kaimu Mkulugenzi huduma kwa wateja Martin Mwambene Amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa majukumu ya shirika la umeme Tanzania
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema anafurahishwa na mafanikio makubwa ya utekelezwaji wa ujenzi miradi mbalimbali ya maendeleo yanayoonekana katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. “Wana-Ruangwa lazima tuendelee kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha fedha nyingi za utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Haya ni mafanikio makubwa, Ruangwa
READ MOREWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Angellah Kairuki amewaelekeza Wanganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri kuhakikisha wanatoa huduma bara za afya ili kuwahamasisha wananchi kuendelea kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya kwa Jamii(CHF). Kairuki ameyasema hayo leo Februari 22, 2023 jijini Dodoma wakati wa kuufunga mkutano
READ MOREWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Angellah Kairuki amewataka watendaji wa TARURA kila mmoja kwa nafasi yake atekeleze na kusimamia majukumu yake kwa weledi na ufanisi. Hayo ameyasema leo Februari 21, 2023 wakati alipokutana na kuzungumza na Mameneja TARURA Mkoa, Wilaya Wakuu wa Idara na Vitengo wa
READ MORENaibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) ameshuhudia Wanafunzi zaidi ya 323 wa kidato cha Kwanza wakiendelea na Masomo kwa wakati mmoja katika vyumba vya madarasa saba kwenye shule Mpya ya Nasa Matui iliyopo wilaya Kiteto. Amejionea hali hiyo tarehe 22 Februari 2023 wakati alipofika Shuleni hapo kukagua ujenzi wa miundombinu
READ MORE