• Maagizo 10 ya Waziri mkuu.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa maagizo 10 kwa viongozi wa mkoa wa Kagera huku akiwasisitiza wazingatie maelekezo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao. “Viongozi na watendaji wote ninawakumbusha tena wajibu wenu wa kuwatumikia zaidiwananchi, nendeni mkatatue kero zao, wekeni utaratibu wa kuwafuata, kuwasikiliza na kupata ufumbuzi wa kero

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU ASHTUKIA UPIGAJI FEDHA KIGOMA.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema atapeleka timu maalum ya uchunguzi wilayani Kigoma ili ifanye uchunguzi wa fedha zinazopotea kinyemela kupitia mtandao wa watumishi wasio waaminifu. “Hapa Manispaa mnapokea fedha, zinakaa kwenye akaunti kwa muda halafu zinapotea, hazijulikani zimefanya nini. Nitaleta timu, waje wafuatilie hapa Kigoma, waende hadi TAMISEMI ili tuone huo mnyororo unaenda wapi,” amesema. Ametoa kauli

    READ MORE
  • TUMIENI HUDUMA ZA JAMII ZINAZOTOLEWA BURE NA JESHI LA POLISI.

    TUMIENI HUDUMA ZA JAMII ZINAZOTOLEWA BURE NA JESHI LA POLISI.0

    Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. HAMAD KHAMIS HAMAD amewataka wananchi kisiwani Pemba kutumia huduma za Jamii zikiwemo za Elimu na Afya zinazotolewa bure na Polisi kwa kushirikiana na Jumuiya ya Kuhamasisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii Pemba (JUKUMAKIKIPE) inayosimamiwa na Raia kutoka Korea. Akikagua Vituo vya Kutolea huduma hizo Kambi ya Polisi Madungu, Katika Wilaya

    READ MORE
Translate »