Thamani ya vikosi vya timu 8 zilizofuzu robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
- Uncategorized
- April 14, 2021
Mkuu wa wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli amewataka wanachama wa cha wakulima wa Ushirikawa Wakulima Wadogo Wadogo Kilimo cha Umwagiliaji Dakawa UWAWAKUDA katika skimu ya Dakawakuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali katika kuboresha sekta ya umwagiliaji nchini ikiwemoujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji na uendelezaji. Mhe. Judith Nguli ametoa kauli hiyo katika mkutano wa kawaida
READ MOREMsemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Gerson Msigwa akishiriki mkutano wa wabunge na wadau wa habari wa ndani na nje ya nchi kuhusu ukatili wa kijinsia kupitia mitandao ya kijamii hasa kwa wanawake, uliofanyika jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya New Africa, leo Septemba 18, 2023.
READ MORENaibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete (Mb) amewatahadharisha Watumishi wa Umma kujiepusha na mikopo yenye riba kubwa maarufu kwa jina la ” Kausha Damu” huku akisisitiza kuwa mikopo ya aina hiyo imekuwa ikidhalilisha na kutweza utu wa Watumishi katika Jamii. Mhe.Kikwete ametoa tahadhari hiyo wakati akizungumza
READ MOREWananchi wa Kata ya Sukuma Wilayani Magu mkoani Mwanza wamehamasika katika kuboresha makazi yao na kujenga nyumba 165 kwenye Kata 4 za Wilayani humo. Hayo yamebainika katika ziara ya Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe Mwanaidi Ali Khamis katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu mkoani Magu kufuatilia utekelezaji wa
READ MORE