• DK. MWINYI: WAGONJWA WOTE WATIBIWE HAPA IKISHINDIKANA WAPELEKWE DAR ES SALAAM, SIO INDIA

    DK. MWINYI: WAGONJWA WOTE WATIBIWE HAPA IKISHINDIKANA WAPELEKWE DAR ES SALAAM, SIO INDIA0

                                                    STATE HOUSE ZANZIBAR                                       OFFICE OF THE PRESS SECRETARY                                                       PRESS RELEASE Zanzibar                                                                                                                Machi 10, 2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema wakati umefika kwa Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto kuondokana na utaratibu wa kupeleka wagonjwa nje ya nchi kwa matibabu,

    READ MORE
  • Kamati ya huduma na maendeleo ya jamii yaipongeza serikali kwa kuwekeza miradi mingi ya maendeleo

    Kamati ya huduma na maendeleo ya jamii yaipongeza serikali kwa kuwekeza miradi mingi ya maendeleo0

    Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeipongeza Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kuendelea kuwekeza na kuboresha upatikanaji wa huduma za tiba za kibingwa nchini na kupunguza gharama za matibabu kwa watanzania waliokuwa wanapata huduma hizo nje ya nchini.Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Stanslaus Nyongo kwenye kikao

    READ MORE
  • Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel awasimamisha kazi DMO, Mfamasia na Mtunza stoo Ngara

    Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel awasimamisha kazi DMO, Mfamasia na Mtunza stoo Ngara0

    Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk.Godwin Mollel, amewasimamisha kazi DMO, Mfamasia na Mtunza Stoo wa Hospitali ya Wilaya ya Ngara ya Nyamiaga mkoani Kagera ili kupisha uchuguzi. Watumishi hao wanakabiliwa na tuhuma za kuhusika na upotevu wa dawa za mamilioni ya fedha zilizoletwa na Serikali kwa ajili ya wananchi.

    READ MORE

Latest Posts

Top Authors

Translate »