• WAZIRI MKUU:SERIKALI IMESAJILI MIRADI YA UWEKEZAJI 537.

    WAZIRI MKUU:SERIKALI IMESAJILI MIRADI YA UWEKEZAJI 537.0

    WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa katika kipindi cha mwaka 2021 hadi Januari, 2023 Serikali ilisajili jumla ya miradi ya uwekezaji 537 yenye thamani ya dola za Marekani milioni 7,222. Amesema hayo leo Alhamisi (Aprili 20, 2023) alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa Kituo cha Biashara cha Afrika Mashariki, kinachojengwa na Kampuni

    READ MORE
  • ASA Yatarajia Kuzalisha Mbegu Tani 4,000

    ASA Yatarajia Kuzalisha Mbegu Tani 4,0000

    Wakala wa Mbegu za kilimo (ASA), unatarajia kuzalisha tani 4,000 za mbegu kwa msimu huu wa kilimo ikiwa ni moja ya mafanikio yaliyopatikana baada ya ongezeko la bajeti ya wakala huo ya mwaka wa fedha 2022/23 kufikia Shilingi bilioni 47. Takwimu hizo zimetajwa hivi karibuni mkoani Morogoro na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mbegu za

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AZINDUA MIFUMO YA KIBIASHARA YA JIBA

    WAZIRI MKUU AZINDUA MIFUMO YA KIBIASHARA YA JIBA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua programu ya kompyuta maarufu kama JIBA App iliyotengenezwa na taasisi ya kibiashara ya Jaffery International Business Association (JIBA) tawi la Tanzania. Programu hiyo ambayo lengo lake kuu ni kutengeneza fursa za biashara, itawezesha upatikanaji wa taarifa juu ya fursa za uwekezaji za ndani na nje ya nchi na hivyo kurahisisha mawasiliano miongoni mwa

    READ MORE
Translate »