WAZIRI MKUU Kasim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na uratibu wa uanzishaji wa Benki ya Taifa ya Ushirika na tayari sh. bilioni 15.7 zimekusanywa kutoka kwa wanahisa. Amesema kiasi hicho ni sawa na asilimia 78.5 ya mtaji wa sh. bilioni 20 zinazohitajika na kwamba kuanzishwa kwa benki hiyo, kutaviwezesha vyama vya ushirika kupata mikopo yenye riba
READ MORE- Habari, Kitaifa
- April 18, 2024
WAZIRI MKUU Kasim Majaliwa amewaagiza Wakuu wote wa Mikoa wawahamasishe wananchi na wadau mbalimbali kutoa maoni ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuisaidia timu ya kukusanya maoni kupata maoni yatakayoakisi mahitaji halisi ya nchi. Pia amewaagiza Wakuu wote wa Mikoa washiriki kwenye mahojiano maalumu na kutoa maoni kuhusu maandalizi ya Dira ya Taifa
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia ameridhia kutoa tani 189 za mbegu za mpunga, mahindi na alizeti ili zisambazwe kwa wakulima wa wilaya ya Kilombero. “Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatoa pole kwa wananchi wote walioathirika na mafuriko yaliyotokana na mvua zinazonyesha nchini, lakini pia ametoa mbegu hizo ili kuhakikisha wale waliopata
READ MORE