• CHONGOLO: TANZANIA INAKOPA KWA AJILI YA MAENDELEO, TUSIPOTOSHWE

    CHONGOLO: TANZANIA INAKOPA KWA AJILI YA MAENDELEO, TUSIPOTOSHWE0

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amesema Tanzania haina mzigo wa Madeni kama ilivyo kwa mataifa mengine ya Afrika Mashariki, tuwapuuze watu wanaobeza mpango wa Serikali kukopa Fedha Nje ya Nchi, kwani hatua ya Serikali kukopa ni kuendelea Kuijenga Tanzania ili iwe imara Kiuchumi kama ilivyo kwa mataifa yaliyopiga hatua Kimaendeleo.

    READ MORE
  • TPHPA Yadhibiti Ndege aina ya Kweleakwelea Milioni 227.4 na kuokoa Tani 1056.3 za Mazao ya Nafaka

    TPHPA Yadhibiti Ndege aina ya Kweleakwelea Milioni 227.4 na kuokoa Tani 1056.3 za Mazao ya Nafaka0

    Na Moreen Rojas Dodoma Mamlaka ya afya ya mimea na viatilifu Tanzania TPHPA imefanikiwa kudhibiti ndege aina ya kweleakwelea milioni 227.4 na kufanikiwa kuokoa Tani 1056.3 za mazao ya nafaka.Prof.Joseph Ndunguru amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kueleza utekelezaji wa majukumu ya mimea na viatilifu nchini Tanzania. Aidha Prof Joseph amesema

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU APIGA MARUFUKU MATUMIZI YA KIPIMO CHA BIDOO

    WAZIRI MKUU APIGA MARUFUKU MATUMIZI YA KIPIMO CHA BIDOO0

    *Kinatumika kupima mafuta ya Mawese WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Tobias Andengenye kwa kushirikiana na SIDO wahakikishe wanaingiza sokoni vipimo rasmi vya kupimia mafuta ya mawese na kuachana na vipimo vya asili maarufu kama BIDOO ambacho kimekuwa kikiwanyonya wakulima. Ametoa agizo hilo leo (Jumatatu, Februari 27, 2023) alipotembelea Viwanda vya Kukamua mafuta

    READ MORE
Translate Β»