• WAZIRI MKUU AMEFUNGA MKUTANO WA SADCOPAC.

    WAZIRI MKUU AMEFUNGA MKUTANO WA SADCOPAC.0

    Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Abeid Aman Karume Zanzibar ambako atafunga  Mkutano wa Kujenga Uelewa wa Pamoja na Ufanyaji wa Kazi wa Taasisi za Ukaguzi na Mabunge (SADCOPAC) kwenye hoteli ya Goilden Tulip, Aprili 18, 2024 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano wa Kujenga Uelewa wa PamojaREAD MORE
  • WANAWAKE WANAZIDI KUNG’ARA KATIKA UONGOZI.

    WANAWAKE WANAZIDI KUNG’ARA KATIKA UONGOZI.0

    Wanawake nchini wameendelea kupata fursa za uongozi katika ngazi mbalimbali huku takwimu zikionesha ongezeko la Wanawake katika uongozi ikiwemo Mawaziri Wanawake kutoka asilimia 15 kwa mwaka 2005 hadi asilimia 37 kwa mwaka 2023. Aidha, Wabunge wanawake wameongezeka kutoka asilimia 22 hadi kufikia asilimia 37 kwa mwaka 2023. Hayo yamebainika wakati wa uzinduzi wa mradi wa

    READ MORE
  • MA-RC, MA-DC TOENI TAARIFA ZA MICHANGO YA WADAU KWENYE MAAFA.

    MA-RC, MA-DC TOENI TAARIFA ZA MICHANGO YA WADAU KWENYE MAAFA.0

    WAZIRI MKUU Kasim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya waweke utaratibu wa kutoa taarifa za michango inayotolewa na wadau kwenye maafa ili kujenga imani kwao. “Natoa wito kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao ni wakuu wa Kamati za Maafa kwenye maeneo yao watoe mrejesho ili kuweka uwazi na kujenga imani kwa

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AMEFUNGUA KONGAMANO LA MWAKA KUHUSU SERA YA KILIMO.

    WAZIRI MKUU AMEFUNGUA KONGAMANO LA MWAKA KUHUSU SERA YA KILIMO.0

    WAZIRI MKUU Kasim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na uratibu wa uanzishaji wa Benki ya Taifa ya Ushirika na tayari sh. bilioni 15.7 zimekusanywa kutoka kwa wanahisa. Amesema kiasi hicho ni sawa na asilimia 78.5 ya mtaji wa sh. bilioni 20 zinazohitajika na kwamba kuanzishwa kwa benki hiyo, kutaviwezesha vyama vya ushirika kupata mikopo yenye riba

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AMEFUNGUA SEMINA YA WAKUU WA MIKOA KUHUSU DIRA YA MAENDELEO 2050.

    WAZIRI MKUU AMEFUNGUA SEMINA YA WAKUU WA MIKOA KUHUSU DIRA YA MAENDELEO 2050.0

    WAZIRI MKUU Kasim Majaliwa amewaagiza Wakuu wote wa Mikoa wawahamasishe wananchi na wadau mbalimbali kutoa maoni ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuisaidia timu ya kukusanya maoni kupata maoni yatakayoakisi mahitaji halisi ya nchi. Pia amewaagiza Wakuu wote wa Mikoa washiriki kwenye mahojiano maalumu na kutoa maoni kuhusu maandalizi ya Dira ya Taifa

    READ MORE
  • RAIS SAMIA AMETOA TANI 189 ZA MBEGU.

    RAIS SAMIA AMETOA TANI 189 ZA MBEGU.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia ameridhia kutoa tani 189 za mbegu za mpunga, mahindi na alizeti ili zisambazwe kwa wakulima wa wilaya ya Kilombero. “Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatoa pole kwa wananchi wote walioathirika na mafuriko yaliyotokana na mvua zinazonyesha nchini, lakini pia ametoa mbegu hizo ili kuhakikisha wale waliopata

    READ MORE
Translate »