• Serikali ya Zanzibar inawaunga mkono wadau wa maendeleo.

    Serikali ya Zanzibar inawaunga mkono wadau wa maendeleo.0

    SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema daima inaunga mkono jitihada  za wadau wa maendeleo nchini na kwamba inathamini michango na huduma wanazozitoa kwa Serikali na wananchi kwa ujumla. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi aliyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na wajumbe wa bodi na watendaji kutoka benki ya

    READ MORE
  • RAIS MWINYI AMEKUTANA NA TUME YA HAKI JINAI.

    RAIS MWINYI AMEKUTANA NA TUME YA HAKI JINAI.0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kuyafanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Maboresho ya mifumo ya taasisi za Haki jinai ambayo itatoa mwangaza kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu kuboresha mifumo na taasisi zinazohusiana na masuala hayo kwa

    READ MORE
  • TUENDELEE KUMPA USHIRIKIANO RAIS WETU. MAJALIWA.

    TUENDELEE KUMPA USHIRIKIANO RAIS WETU. MAJALIWA.0

    WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka wananchi waendelee kumuamini Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa sababu ana dhamira na malengo makubwa ya kuendelea kuboresha maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo na ya wilaya ya Ruangwa. “Tujenge imani ya Serikali yetu, tujenge imani na Rais wetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kuwa anatupenda na amedhamiria kutuletea maendeleo.

    READ MORE
  • OSHA YATOA MAFUNZO KWA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI.

    OSHA YATOA MAFUNZO KWA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI.0

    Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA) imefanya semina elekezi kwa Waheshimiwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo tarehe 10 Septemba, 2023, mkoani Arusha. Aidha, semina hiyo ililenga kutoa uelewa kwa Kamati hiyo kuhusu majukumu yanayotekelezwa na OSHA na namna taasisi hiyo iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu

    READ MORE
  • HOTUBA YA WAZIRI MKUU AKIAHIRISHA BUNGE

    HOTUBA YA WAZIRI MKUU AKIAHIRISHA BUNGE0

    HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB.), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUAHIRISHA MKUTANO WA 12 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 8 SEPTEMBA, 2023 JIJINI DODOMA UTANGULIZI Shukrani Mheshimiwa Spika, leo tunapoelekea kuhitimisha shughuli za Mkutano wa 12 wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano

    READ MORE
  • TENGENEZENI MIFUMO YA KUGUNDUA RISITI FEKI – MAJALIWA

    TENGENEZENI MIFUMO YA KUGUNDUA RISITI FEKI – MAJALIWA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza wataalamu wa mifumo na TEHAMA, wabuni programu tumizi ya kuweza kutambua risiti halali na zisizo halali ili kujihakikishia kuwa mapato yote yanayokusanywa yanaingia Serikalini. Kadhalika, amewataka waweke utaratibu wa kufanya kaguzi za mashine za “PoS” ili kubaini kama kuna ukiukwaji wowote unaofanyika sambamba na kuwa na utaratibu endelevu wa ufuatiliaji

    READ MORE
Translate »