
- Habari, Kitaifa
- September 10, 2023
Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA) imefanya semina elekezi kwa Waheshimiwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo tarehe 10 Septemba, 2023, mkoani Arusha. Aidha, semina hiyo ililenga kutoa uelewa kwa Kamati hiyo kuhusu majukumu yanayotekelezwa na OSHA na namna taasisi hiyo iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu
READ MORE
- Bungeni, Kitaifa
- September 10, 2023
HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB.), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUAHIRISHA MKUTANO WA 12 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 8 SEPTEMBA, 2023 JIJINI DODOMA UTANGULIZI Shukrani Mheshimiwa Spika, leo tunapoelekea kuhitimisha shughuli za Mkutano wa 12 wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano
READ MORE
- Habari, Kitaifa
- September 9, 2023
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza wataalamu wa mifumo na TEHAMA, wabuni programu tumizi ya kuweza kutambua risiti halali na zisizo halali ili kujihakikishia kuwa mapato yote yanayokusanywa yanaingia Serikalini. Kadhalika, amewataka waweke utaratibu wa kufanya kaguzi za mashine za “PoS” ili kubaini kama kuna ukiukwaji wowote unaofanyika sambamba na kuwa na utaratibu endelevu wa ufuatiliaji
READ MORE