
- Habari, Kitaifa
- August 28, 2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amehimiza ushirikiano wa karibu baina ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Serikali ya Mapindizi ya Zanziar. Dk. Mwinyi ameyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afika
READ MORE
- Habari, Kitaifa
- August 18, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amesema mazingira mazuri ya uwekezaji yaliyowekwa na Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa sekta binafsi yamechochea ukuaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Aidha, Mhe. Ndalichako amesema ukuaji huo umepelekea thamani ya mfuko kuongezeka pamoja na michango ya
READ MORE
Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais (Kazi, Uchumi na Uwekezaji) Zanzibar, Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga ametoa rai ya kuendelea kuwawezesha na kuwajengea uwezo Walimu nchini ili wawe walimu wenye uwezo na ujuzi wa kutosha, hivyo kutoa elimu inayokusudiwa itakayoweza kuboresha rasilimali watu. Ameyasema hayo mapema leo jijini Dar es Salaam katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa
READ MORE