• SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI-Waziri Mkuu Majaliwa.

    SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI-Waziri Mkuu Majaliwa.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kushirikiana kikamilifu na Sekta Binafsi katika utoaji elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi ili kuzalisha wataalamu wenye ujuzi wa kutosha unaohitajika katika sekta mbalimbali. Pia, Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa waajiri wote nchini waendelee kushirikiana na Serikali katika kuhakikisha malengo ya kukuza ujuzi na

    READ MORE
  • Rais Dkt. Mwinyi amezungumza na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, Dkt.Akinwumi Adesina.

    Rais Dkt. Mwinyi amezungumza na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, Dkt.Akinwumi Adesina.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB, Dkt.Akinwumi Adesina aliyeongozona na ujumbe wake Ikulu, Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB, Dkt.Akinwumi Adesina aliyeongozonaREAD MORE
  • Rais Dkt.Samia amefanya uteuzi.

    Rais Dkt.Samia amefanya uteuzi.0

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina.  Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).  Bw. Mchechu anachukua nafasi ya Bw. Mgonya Benedicto ambaye atapangiwa kazi nyingine.   Amemteua Bw. Hamad Abdallah, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika

    READ MORE
  • Antony Diallo ateuliwa TFRA.

    Antony Diallo ateuliwa TFRA.0

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- Amemteua Bw. Antony Diallo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA). Bw. Diallo anachukua nafasi ya Prof. Anthony Mshandete ambaye amemaliza muda wake.  Uteuzi huu umeanza tarehe 09 Februari, 2023. Amemteua Mkuu wa

    READ MORE
  • Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa Madalali kuacha  kuwarubuni  Wakulima

    Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa Madalali kuacha kuwarubuni Wakulima0

    Na Moreen Rojas  Dodoma Bodi ya usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa madalali kuacha tabia ya kuwarubuni wakulima na badala yake kuwaacha waingie kwenye mfumo wa Stakabadhi ghalani ili kuuza mazao yao kulingana na bei iliyopo sokoni. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa stakabadhi za ghala (WRRB)  Asangye Bangu amesema hayo

    READ MORE
  • SERIKALI IKO MAKINI NA INAFUATILIA MIRADI YOTE INAYOTEKELEZA INAYOTELEZWA HAPA NCHINI

    SERIKALI IKO MAKINI NA INAFUATILIA MIRADI YOTE INAYOTEKELEZA INAYOTELEZWA HAPA NCHINI0

    Waziri Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan iko makini na itaendelea kufuatilia miradi yote inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini ili kudhibiti matumizi mabaya ya mali ya umma. Pia, Mheshimiwa Majaliwa amesema Serikali kupitia ofisi ya Waziri Mkuu imeandaa mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya mipango na

    READ MORE
Translate »