• Waziri Mkuu Majaliwa amezindua nembo na kauli mbiu ya miaka 60 ya Muungano.

    Waziri Mkuu Majaliwa amezindua nembo na kauli mbiu ya miaka 60 ya Muungano.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wote, Bara na Visiwani waendelee kuulinda, kuuenzi, kujivunia na kuuthamini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.  “Kwa heshima na taadhima nitumie fursa hii kuwapongeza sana Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassanpamoja na Mheshimiwa Dkt. Hussein Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa uongozi wao makini ambao umekuwa

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIWA BUNGENI.

    WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIWA BUNGENI.0

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Śpika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, bungeni jijini Dodoma, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Śpika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, bungeni jijini Dodoma,  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora George Simbachawene, Bungeni jijini DodomaREAD MORE
  • WATU 92,561 WAMEFIKIWA NA HUDUMA YA AFYA MVOMERO.

    WATU 92,561 WAMEFIKIWA NA HUDUMA YA AFYA MVOMERO.0

    Mkuu wa Wilaya ya Mvomero  Mkoani Morogogoro Mhe. Judith Nguli ametoa wito kwa Wananchi kuwa na desturi ya kupima afya mara kwa mara. Mhe.Nguli amebainisha hayo Turiani Wilayani Mvomero Mkoani Morogoro katika Maadhimisho ya Siku ya Afya Duniani yaliyokwenda sambamba na kaulimbiu isemayo”Afya Yangu Haki Yangu” “Watu wengi wanadhani afya ni kuwa mnene,muonekano mzuri, afya kutoumwa,

    READ MORE
Translate »