
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Balozi wa Canada nchini Tanzania Mhe. Kyle Nunas aliyefika Ikulu Zanzibar leo tarehe 03 Mei 2023. Katika mazungumzo hayo Rais Dk. Mwinyi amesema Serikali umewekeza katika sekta ya afya na elimu ili kuboresha upatikanaji wa huduma bora hasa vijijini. Pia, Serikali
READ MORE
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein AliMwinyi ametoa wito kwa tasnia ya habari kuitumia fursa ya maadhimisho yasiku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani kuweka mkazo kwenye uhuruwa kujieleza ndani ya ajenda ya jumla ya haki za binaadamu, kwa kuangaziauhusiano baina ya uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa
READ MORE
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kufanya maboresho ya Sera ya Mifugo na Uvivu ili iweze kuleta tija kwa Taifa. Amesema hayo leo Jumanne (Mei 02, 2023) alipotembelea maonesho ya wadau wa mifugo na uvuvi yanayoendelea kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma. Amesema kuwa lengo la kufanya maboresho hayo ni kuhakikisha sekta hiyo inaongeza
READ MORE