
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa rai kwa wafanyabishara nchini kutumia maonesho ya kibiashara ya kimataifa ya sabasaba sambamba na fursa za makampuni ya kigeni ili kujifunza na kujipanga kuhudumia masoko makubwa ya ndani, kikanda na kimataifa. Amesema kufunguka kwa Soko la Eneo Huru la Afrika – AfCFTA ambalo linakadiriwa kuwa na walaji zaidi ya bilioni
READ MORE
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemtaka balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Seif Idd Bakari aweke msisitizo katika kusimamia utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ikiwa ni pamoja na kudumisha diplomasia ya uchumi, kuhamasisha uwekezaji na upatikanaji wa masoko wa bidhaa za ndani. “Kupitia mahusiano haya, zipo fursa nyingi ambazo tunahitaji kuzipata hasa za kiuchumi, Tanzania
READ MORE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Rais wa Malawi, Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, Lilongwe - Malawi Julai 5, 2023.READ MORE