Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu akihutubia Bunge la Zambia wakati akihitimisha ziara yake ya kitaifa nchini humo tarehe 25 Oktoba, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Zambia ulioongozwa na Rais wa Nchi
READ MORE- Habari, Kimataifa
- October 21, 2023
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imejitahidi kulinda haki za binadamu na kutekelezwa kwa mujibu wa Mikataba ambayo Tanzania ni mwanachama. Alisema, jitihada kubwa zimechukuliwa kuboresha hali ya upatikanaji wa haki mbalimbali za binaadamu zikiwemo usawa mbele ya sheria, afya, elimu, maji na mazingira safi, uhuru wa kutoa
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea shamba la ufugaji wa ng’ombe wa maziwa la Alesandra lilipo Milan nchini Italia, ambalo linaendeshwa kwa kutumia mifumo ya kisasa ya kielektoniki ikiwemo ukamuaji wa maziwa kwa kutumia roboti. Akiwa katika shamba lenye takribani ngombe 500 Mheshimiwa Majaliwa ameshuhudia mifumo bora ya ufugaji, ulishaji , unyonyeshaji na ukamuaji wa maziwa, ambapo ng’ombe mmoja anauwezo
READ MORE