- Afya, Habari, Kimataifa
- October 10, 2023
Tanzania imefanikiwa kudhibiti vitendo vya ukeketaji kwa watoto wa kike 245 kupitia mpaka wa Tanzania na Kenya kwa mkoa wa Mara katika msimu wa ukeketaji mwaka jana. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima wakati wa mdahalo kuhusu jitihada zinazofanywa na nchi wanachama wa Umoja
READ MORE- Habari, Kimataifa
- October 10, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru kwenye hafla iliyofanyika New Delhi nchini India tarehe 10 Oktoba, 2023. Mhe. Rais Dkt. Samia ni Mwanamke wa Kwanza kutunukiwa Shahada hiyo ya Heshima na Chuo
READ MOREMke wa Rais wa Zanzibar , Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) Mhe.Mama Mariam Mwinyi ametoa rai kuwekeza katika elimu ya mtoto wa kike ili kumwezesha kiuchumi, kijamii husasan kujiamini kufanya maamuzi sahihi kuhusiana na afya ya uzazi na mpangilio kufikia maendeleo endelevu kwa kuzingatia uzazi
READ MORE