• Rais Mwinyi amefungua ofisi za Silent Ocean, Foshan Guangzhou China.

    Rais Mwinyi amefungua ofisi za Silent Ocean, Foshan Guangzhou China.0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na wa Kampuni ya Silent Ocean China , wakati wa ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya kusafirisha mizigo, uzinduzi huo uliofanyika katika eneo Foshan Guangzhou China, wakati  akiendelea na ziara yake Nchini China leo 28-6-2023.(Picha na Ikulu)READ MORE
  • RAIS Mwinyi amezungumza na Makamu wa Rais wa China Mhe. Han Zheng.

    RAIS Mwinyi amezungumza na Makamu wa Rais wa China Mhe. Han Zheng.0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Han Zheng alipowasili katika ukumbi wa mkutano wa Complex Building Hunan China, wakati akiendelea  na ziara yake Nchini huo leo 28/6/2023.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laREAD MORE
  • RAIS MWINYI AMEKUTANA NA BALOZI WA INDIA NCHINI.

    RAIS MWINYI AMEKUTANA NA BALOZI WA INDIA NCHINI.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo amekutana na Balozi wa India nchini Mheshimiwa Biyana S.Pradhan ambapo walizungumzia masuala mbalimbali ya Uhusiano na Ushirikiano kati ya Zanzibar na India. Katika mazungumzo hayo Dk. Mwinyi alisifu uhusiano na ushirikiano wa kihistoria uliodumu karne nyingi kati wa wananchi wa Zanzibar

    READ MORE
Translate »