
- Dini, Kitaifa
- April 19, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaomba Sekta binafsi Zanzibar kuwalipa mishahara watumishi wao wa sekta hizo leo na kesho kabla ya Sikukuu ya Idd. Ameyasema hayo leo tarehe 19 Aprili 2023 katika fainali za mashindano ya Quran kwa njia ya Tar-til yalioandaliwa na Shirika la utangazaji Zanzibar
READ MORE
- Dini, Habari, Kitaifa
- April 19, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na viongozi mbalimbali katika futari iliyoandaliwa na Balozi Mdogo wa Oman Zanzibar Said Salim Al Sinawi iliyofanyika Hoteli ya Golden Tulip Airport leo tarehe 18 Aprili 2023, Mkoa wa Mjini Magharibi.
READ MORE
- Dini, Habari, Kitaifa
- April 16, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na changamoto za harakati kuhusu kupenyeza uharibifu wa maadili hivyo kupitia utaratibu wa mashindano ya kuhifadhi Qur’aan ni jitihada za kuimarisha maadili mema kwa kuwalea vijana kiroho na kitabia. Ameyasema hayo leo tarehe 16 Aprili 2023 katika
READ MORE