
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na waumini wa Masjid Riyaadh Amani katika Ibada ya Sala ya Ijumaa.Akiwasalimia waumini hao Alhajj Hemed amewataka wananchi kushirikiana na Serikali katika kupinga vitendo viovu nchini ambavyo vinamchukiza Allah (S.W) na kuondoa taswira ya Zanzibar. Amesema zipo njia nyingi zinazopelekea kuongezeka kwa vitendo hivyo
READ MORE
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wamejumuika na Viongozi mbali mbali,Wanafamilia, wananchi na wanakijiji wa Chwaka katika Mazishi ya Marehemu Bwana Simai Msaraka Pinja aliezikwa Kijijini kwao Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja. Marehemu Simai Msaraka
READ MORE
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itajitahidi kutoa msaada kwa kadri itakavyowezekana kwa taasisi zilizobeba dhima ya kuwasafirisha mahujaji kwaajili ya ibada ya Hijja, kupitia taasisi ya Wakhfu na Mali ya amana ili kuweka mazingira mazuri ya utekelezaji wa ibada ya hiyo inayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,
READ MORE