• RAIS DK.MWINYI ASEMA AMANI YA NCHI NI JAMBO LA MSINGI.

    RAIS DK.MWINYI ASEMA AMANI YA NCHI NI JAMBO LA MSINGI.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuitunza amani na kudumisha umoja pamoja na mshikamano wa watu nchini. Rais Dk Mwinyi amesema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika Msikiti wa Masjid Kheir Batini

    READ MORE
  • RAIS DK.MWINYI AWATEMBELEA WAZEE.

    RAIS DK.MWINYI AWATEMBELEA WAZEE.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi baada ya sala ya Ijumaa amewatembelea Wazee na kuwajulia hali wakiwemo Mjumbe wa Baraza la Ulamaa Mstaafu, Mwalimu Sheikh Machano Makame Machano nyumbani kwake Mwembe Makumbi Wilaya ya Mjini , Mkoa wa Mjini Magharibi . Pia alimtembelea Mzee Alawi Suleiman Khatib nyumbani kwake

    READ MORE
  • SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI MCHANGO WA TAASISI ZA DINI.

    SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI MCHANGO WA TAASISI ZA DINI.0

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inathamini na kutambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika shughuli mbalimbali za maendeleo hususani katika kuimarisha amani

    READ MORE
Translate »