• Kambi za matibabu zitasaidia kuondoa matatizo ya Afya kwa wananchi.

    Kambi za matibabu zitasaidia kuondoa matatizo ya Afya kwa wananchi.0

    Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi amesema hatua ya wadau wa afya kuweka kambi za matibabu Zanzibar, itasaidia kuondoa matatizo ya afya yanayowakabili wananchi. Akizungumza na ujumbe wa watendaji wa hospitali ya Kitengule, kutoka Dar es Salaam, ofisini kwake Migombani

    READ MORE
  • MASLAHI KWA WATUMISHI NI KIPAUMBELE KWA AWAMU YA SITA.

    MASLAHI KWA WATUMISHI NI KIPAUMBELE KWA AWAMU YA SITA.0

    Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesisitiza kuwa maslahi ya watumishi ni kipaumbele katika awamu hii ya Sita ili kuongeza motisha na kuchochea zaidi utendaji kazi na utoaji wa huduma bora kwa umma. Mhe. Ridhiwani amesema na kusisitiza hayo tarehe leo  alipokuwa akizungumza na viongozi wa

    READ MORE
  • WAKUU WA MIKOA ONGEZENI KASI YA KUDHIBITI UKATILI KWA WATOTO.

    WAKUU WA MIKOA ONGEZENI KASI YA KUDHIBITI UKATILI KWA WATOTO.0

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewasisitiza Wakuu wa Mikoa nchini kuendelea kuishikilia Ajenda ya kupambana na mmomonyoko wa maadili, vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto na uwezeshaji wanawake kiuchumi katika maeneo yao. Mhe. Dkt. Gwajima amesisitiza hayo Agosti 26, 2023 kwenye mkutano wa mafunzo

    READ MORE
  • SERIKALI INAFANYA MAPITIO YA SERA YA WATU WENYE ULEMAVU.0

    OFISI ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imeanza kufanya tathmini na mchakato wa mapitio ya Sera ya Maendeleo na Huduma kwa Watu Wenye Ulemavu ya mwaka 2004 ili kukidhi mahitaji ya sasa.  Akifungua kikao cha wadau Agosti 24, 2023 jijini Dodoma cha kupitia taarifa ya awali ya mapitio hayo, Katibu Mkuu wa

    READ MORE
  • Wadau Pambaneni dhidi ya Ukatili wa Kijinsia.

    Wadau Pambaneni dhidi ya Ukatili wa Kijinsia.0

    Serikali imewataka Wadau mbalimbali kuendelea kupambana dhidi ya ukatili wa kijinsia nchini kwa kuunganisha nguvu hasa kushirikiana na Serikali kutoa elimu kwa wananchi.Hayo yamesemwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima wakati wa kikao cha kuwapongeza na kutoa tuzo kwa Wadau na mabalozi waliowezesha uzinduzi wa Kampeni

    READ MORE
  • WANANCHI IBUENI MIRADI YA KIMKAKATI KATIKA MAENEO YENU.

    WANANCHI IBUENI MIRADI YA KIMKAKATI KATIKA MAENEO YENU.0

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene, amewataka wananchi kuibua miradi ya kimkakati katika maeneo yao ili Serikali iweze kusaidia katika ukamilishaji wa miradi hiyo.  Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi kwa nyakati tofauti katika Kata ya Luhundwa, Lufu, Wangi na Wotta, Wilayani Mpwapwa, Mkoani Dodoma

    READ MORE
Translate »