Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia. Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo. Khatibu aliwahi kuwa Mbunge wa Konde kupitia Chama cha Wananchi CUF mwaka 2010 hadi 2020. Alishawahi kushika nafasi ya Waziri wa Kilimo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
READ MORENA MWANDISHI WETU -MOROGORO. JUMLA ya Vijiji 80 wilaya ya Morogoro vinatarajiwa kunufaika na mradi wa umeme wa Rea awamu ya tatu baada ya serikali kuviorodhesha vijiji hivyo kuingia kwenye mpango huo ili kuhakikisha kila kijiji kinakuwa na umeme wilayani hapo. Hayo yalisemwa na Kaimu Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilaya ya Morogoro Hilda
READ MORESERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI KILOMBERO NA MWANDISHI WETU-MOROGORO. CHANGAMOTO kubwa iliyokuwa ikiwakumba wananchi wa Kilimobero ya uhaba wa maji sasa imepatiwa ufumbuzi wa kudumu baada ya serikali kujenga mradi wa maji katika wilaya hiyo wenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 800. Hayo yalisema na Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini RUWASA wilaya ya Kilombero
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi na watendaji wote wa sekta ya maji nchini kufanya kazi kwa uzalendo, bidii na weledi na kwa kutanguliza maslahi mapana ya nchi. Amesema lengo ni kuhakikisha kuwa kiwango cha upatikanaji wa huduma ya maji nchini kinaongezeka ili kufikia malengo ya kufikisha maji kwa kiwango cha asilimia 85 Vijijini na asilimia
READ MOREWatu wawili waliotoka gerezani kwa Msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan wamejaribu kuiba ambapo wananchi wenye hasiri kali wamewashambulia hadi kupelekea umauti wao wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani.
READ MOREMbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete ameelezea hatua alizochukua baada ya Madiwani katika kata tano za halmshauri ya chalinze kuiomba serikali kuwatafutia ufunbuzi wa kuwadhibiti tembo waliovamia katika baadhi ya vijiji vyao na hivyo kusababisha hali ya wasiwasi kwa wakazi wao kutokana na watu kupoteza maisha kwa kukanyagwa na tembo. Ridhiwani amesema
READ MORE