Wananchi wa Kata ya Malolo iliyopo Jimbo la Kibakwe katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa wamepaza sauti zao kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene wakimuomba asaidie kubadili mchakato wa kuwapata walengwa halisi wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo
READ MOREMakamu wa Pili wa Rais Wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amekagua maendeleo ya Ujenzi wa Miradi ya Masoko ya Mwanakwerekwe, Jumbi na Chuini yaliyopo Mkoa wa Mjini Magharib Unguja Akizungumza katika ziara yake hiyo Mhe. Hemed ameeleza kufurahiswa kwake baada ya kuona wasimamizi na wakandarasi wa ujenzi wa miradi hiyo ni wazawa wenye uzalendo
READ MORENaibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inawajali vijana na itaendelea kulinda maslahi yao wakati wote. Pia, Mheshimiwa Katambi ametoa wito kwa vijana nchini kuchangamkia fursa zinazotolewa na serikali kupitia programu za kuwawezesha na miradi mikubwa
READ MORE