Tarehe 11 Oktoba ya kila mwaka Tanzania uungana na nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambapo lengo la maadhimisho ni kutoa fursa kwa wadau wanaotekeleza afua za watoto hususani watoto wa kike kufanya tathmini ya upatikanaji wa haki, ulinzi na maendeleo ya watoto kwa ujumla na
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amezitaka Wizara zinazohusika na utekelezaji wa Mwongozo wa Mpango Kabambe wa Afua za Ustawi wa Jamii kuhakikisha zinasimamia urasimishwaji na utekelezaji wa mwongozo huo katika jamii. Akizindua mwongozo huo kwa niaba ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri wa Nchi Ofisi
READ MORENa Barnabas Kisengi Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi JUMANNE SAGINI ameingoza maelfu ya wakazi Wilayani Hai katika mazishi ya aliyekuwa afisa habari wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Bi Mageni Nzumbi yaliyofanyika kijijini kwao kwasadala wiayani Hai Mkoani Kilimanjaro leo Sempeter 15 2022 Marehemu Mageni Zumbi alifikiri Duniani Sempetemba 12
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi HAMADI MASAUNI ameingoza kuagwa kwa mwili wa Marehemu Mageni Zumbi aliyekuwa Afisa Habari Daraja II katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyefariki dunia sempetemba12 , 2022 kwa ajali ya Gari katika eneo la chimala wilaya Mbarali Mkoani Mbeya. Waziri Mhandisi HAMADI MASAUNI amesema
READ MORENa WMJJWM Pwani Serikali imezindua Mwongozo wa Kitaifa wa Uanzishaji na Uendeshaji Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi wenye lengo la kuleta ufanisi wa utekelezaji wa majukwaa haya ikiwa ni pamoja na kuyafanya yajulikane ngazi zote hapa nchini. Akizungumza katika Uzinduzi wa Mwongozo huo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia
READ MOREYawataka Wazazi na Walezi Kuwasikiliza Watoto Ndoto Zao Familia Ziepuke Migogoro Kupunguza Wimbi la Watoto wa Mitaani Na Mwandishi Wetu, WMJJWMM, Dar Es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza utaratibu wa kuwarejesha watoto wa mitaani kuungana na familia zao ili kupunguza wimbi la ongezeko la watoto hao kwenye maeneo ya mijini kwa
READ MORE