• Ushirikiano wa viongozi na wananchi ni siri kubwa ya kuleta maendeleo.Mhe Soraga.

    Ushirikiano wa viongozi na wananchi ni siri kubwa ya kuleta maendeleo.Mhe Soraga.0

    Hayo yamebainishwa na Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Mhe. Mudrik RamadhanSoraga wakati alipofanya ziara katika maeneo mbali mbali ya jimbo lake kwa nia yakuangalia changamoto pamoja na kutoa faraja kwa wananchi waliofikwa na majangambali mbaliAkizungumza katika eneo la Shehia ya Chem Chem alipofika kuona mrudikano wa takakatika maeneo ya baraba Mhe Soraga amesema uwepo wa

    READ MORE
  • Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itafanikishe miradi iliyoidhamiria kwa Maendeleo ya wananchi wake.

    Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itafanikishe miradi iliyoidhamiria kwa Maendeleo ya wananchi wake.0

    SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajitahidi kupambana maeneotofauti ili ifanikishe miradi yake iliyoidhamiria kuifanikisha kwaajili yakuendelea kuwaletea Maendeleo wananchi wake.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyiameyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkaazi wa Shirikala Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Tanzania, Bi. Christine Musisialiefika kumtembelea.Dk. Mwinyi alisema

    READ MORE
  • Rais Dkt.Mwinyi Amezungumza na Wazee wa BWELEO.

    Rais Dkt.Mwinyi Amezungumza na Wazee wa BWELEO.0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein AliMwinyi amesema Serikali inaposaini mikataba na wawakezaji mbalimbaliwanaowekeza nchini kipaumbele cha kwanza ni kuwanufaisha wananchiwazawa wa eneo linaloekezwa.Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo alipozungmza na viongozi na wazee wa Barazala Wazee wa Bweleo waliofika Ikulu, Zanzibar kumtembelea.Alisema, lengo la Serikali kuita wawekezaji ni kuongeza Utalii

    READ MORE
Translate »