- Habari, KIJAMII
- June 5, 2023
Hayo yamebainishwa na Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Mhe. Mudrik RamadhanSoraga wakati alipofanya ziara katika maeneo mbali mbali ya jimbo lake kwa nia yakuangalia changamoto pamoja na kutoa faraja kwa wananchi waliofikwa na majangambali mbaliAkizungumza katika eneo la Shehia ya Chem Chem alipofika kuona mrudikano wa takakatika maeneo ya baraba Mhe Soraga amesema uwepo wa
READ MORESERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajitahidi kupambana maeneotofauti ili ifanikishe miradi yake iliyoidhamiria kuifanikisha kwaajili yakuendelea kuwaletea Maendeleo wananchi wake.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyiameyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkaazi wa Shirikala Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Tanzania, Bi. Christine Musisialiefika kumtembelea.Dk. Mwinyi alisema
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein AliMwinyi amesema Serikali inaposaini mikataba na wawakezaji mbalimbaliwanaowekeza nchini kipaumbele cha kwanza ni kuwanufaisha wananchiwazawa wa eneo linaloekezwa.Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo alipozungmza na viongozi na wazee wa Barazala Wazee wa Bweleo waliofika Ikulu, Zanzibar kumtembelea.Alisema, lengo la Serikali kuita wawekezaji ni kuongeza Utalii
READ MORE