Na Mwandishi Wetu Dar es salaam Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 17, 2023 amehani msiba wa Yonaz Enock Yonaz ambaye ni mdogo wa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Jim Yonaz (kulia) nyumbani kwa Katibu Mkuu huyo, Mbezi beach Kilongawima mkoani Dar es salaam.
READ MORENa Mwandishi Wetu Bahi Dodoma Wanawake wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, wamesheherekea siku ya wanawake duniani kwa kukata keki,kupanda miti na kuwapatia mahitaji muhimu wanafunzi wa shule ya msingi Kigwe Viziwi wilayani Bahi mkoani Dodoma.Akizungumza kwa niaba ya wanawake hao, katika shule hiyo, Sylvia Lupembe,amesema katika kusheherekea siku ya wanawake Duniani Watumishi Wanawake
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma. Chama Cha Waandishi wa Habari mkoa wa Dodoma Center Prees Clabu (CPC) kimepokea kwa masikito makubwa kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwandishi wa Habari na Afisa Habari wa Chama Cha walimu Tanzania CWT Bathromea Chilwa Chiwiko kilichotokea Jumamosi March 04 2023 katika hospital ya Rufaa ya Benjamini Mkapa Jijini Dodoma. Akizungumza na J
READ MORENa Barnabas Kisengi Bahi Dodoma Kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 08. 2023 wafanyakazi wanawake wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), wametoa msaada wa magodoro, sabuni, taulo za kike, mafuta na nguo katika shule ya Msingi ya Kingwe Viziwi iliyopo Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma. Wafanyakazi hao
READ MORENa Jacquiline Mrisho – MAELEZO Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), umefanikiwa kulipa fidia stahiki ya jumla ya Shilingi bilioni 49.44 kwa wakati kwa wafanyakazi wanaoumia, kuugua ama kufariki kutokana na kazi takriban wanufaika 10,454 tangu kuanzishwa kwake mnamo mwaka 2015. Takwimu hizo zimetolewa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo, Dkt. John Mduma
READ MORE