Na Barnabas Kisengi-Arusha Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe Deogratius Ndejembi ameipongeza baadhi ya taasisi za umma, ukiwemo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa kuweza kuwafikia wananchi kwa kutumia matumizi ya TEHAMA. Naibu waziri Ndejembi amesema hayo jijini Arusha katika ufunguzi sherehe za
READ MORENa WMJJWM, Dodoma Wanaume na Wavulana wamehimizwa kushiriki kikamilifu kupinga Mila na Desturi zenye madhara ili kutokomeza ukeketaji.Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum ameyasema hayo jijini Dodoma Leo Februari 02 alipozungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya kupinga Ukeketaji dhidi ya Wanawake yanayofanyika Februari 06 ya
READ MORENa Mwandishi Wetu Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua Mradi wa kuimarisha Afya, Ustawi na ulinzi kwa watoto na vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi uitwao USAID Kizazi hodari katika hafla fupi iliyofanyika Jijini Dodoma Januari 17, 2023. Akizungumza na washiriki wa hafla hiyo Waziri Dkt.
READ MORENa, Emesto Eliudy, Dar Es Salaam. Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mashariki Limewataka waumini wa Kanisa Hilo na watanzania Kwa ujumla kutochoka kuwasaidia watu waishio katika mazingira Magumu ikiwa ni sehemu Yao ya Ibada Kwa Mungu. Kauli hiyo ilitolewa asubuhi ya Leo Jijini Dar Es Salaam na Mwenyekiti wa Kanisa Hilo Jimbo la Mashariki,
READ MOREWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na wazee wanaume waliohudhuria hafla ya Harambee ya kukiimarisha Chama cha Wazee Wanaume Tanzania iliyofanyika jijini Arusha. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akimkabidhi Kiongozi Mkuu wa Chama cha Wanume Tanzania mchango
READ MORE