• WIZARA YA ELIMU YAJIPANGA KUDHIBITI MAFUNDISHO YALIYO KINYUME NA MAADILI YA TANZANIA

    WIZARA YA ELIMU YAJIPANGA KUDHIBITI MAFUNDISHO YALIYO KINYUME NA MAADILI YA TANZANIA0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Kufuatia kuibuka kwa uwepo wa mafundisho na vitabu vyenye mafundisho kinyume na maadili ya kitanzania,Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imefungua kituo cha huduma kwa wateja kwa ajili ya kutoa taarifa zinazokiuka miongozo na maadili katika taasisi za elimu. Aidha amewasisitiza wamiliki wa shule kuhakikisha wanafuata Waraka Namba nne ambao

    READ MORE
  • TAZAMA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022

    TAZAMA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 20220

     Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne yaliyofanyika Novemba 14 hadi Desemba 1, 2022, Tanzania Bara na Visiwani. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumapili, Januari 29, 2023, makao makuu ya Necta jijini Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Athumani Amasi. Bonyeza hapa chini kutazama Matokeo👇👇

    READ MORE
  • SERIKALI YAANZA KUCHUKUA HATUA KWA SHULE ZINAZOFUNDISHA WANAFUNZI MAADILI MABAYA

    SERIKALI YAANZA KUCHUKUA HATUA KWA SHULE ZINAZOFUNDISHA WANAFUNZI MAADILI MABAYA0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Serikali kupitia wizara ya Elimu imeanza kuchukua hatua kufuatia ripoti iliyochapishwa kwenye vyombo vya habari juu ya uwepo wa baadhi ya shule zinayofundisha wanafunzi maadili mabaya, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma. Prof.Mkenda amesema kuwa Wizara ya

    READ MORE
Translate »