- ELIMU, Habari, Kitaifa
- November 23, 2023
Katibu tawala wa Mkoa wa Pwani Bw. Rashid Kassim Mchatta ametoa wito kwa Walimu wa msingi wa Somo la English kusambaza ujuzi wa somo hilo kwa wenzao hasa katika kipindi hiki ambacho Serikali inatarajia kutekeleza mtaala mpya ifikapo Januari 2024. Mchatta ametoa wito huo Novemba 22 alipofungua mafunzo ya kusimamia na kutekeleza muhtasari wa Somo
READ MORE- ELIMU, Habari, Kitaifa
- November 3, 2023
RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI KDK HUSSEIN ALI MWINY AMESEMA DHAMIRA YA SERIKALI KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA ELIMU NI KUENDELEA KUONGEZA KIWANGO CHA UFAULU KWA WANAFUNZI , NA KWAMBA HANA SHAKA ANATAMBUA MAGEUZI WANAYOYAFANYA YAMECHANGIA KWA KIASI KIKUBWA ONGEZEKO LA UFAULU KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE NA KIDATO CHA SITA. RAIS
READ MORE- ELIMU, Habari, Kitaifa
- October 17, 2023
NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi amemuagiza Afisa Elimu Mkoa wa Arusha kuharakisha usajili wa Shule tarajiwa ya Msingi Lucas Mhina ili ipokee wanafunzi kwa ajili ya mwaka wa masomo 2024. Mhe Ndejembi ametoa agizo hilo kwenye uzinduzi wa Shule hiyo katika Kijiji cha Losirwa wilayani Monduli mkoani Arusha. Akizungumza kwenye uzinduzi huo,
READ MORE