• SERIKALI YATANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2022

    SERIKALI YATANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 20220

    Serikali imetangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2022 huku ikisema imawapa kipaombele wanafunzi wa vijijini shule za kitaifa za bweni. Akitangaza uchaguzi huo leo Jumatano Novemba 24, 2021, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi), Ummy Mwalimu amesema nafasi zinazokwenda kwa wanafunzi wa bweni ni za shule za kitaifa. Katika upangaji wa

    READ MORE
  • WANAFUNZI WENYE MIMBA RUKSA KURUDI SHULE

    WANAFUNZI WENYE MIMBA RUKSA KURUDI SHULE0

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari watakaokatisha masomo yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto mbalimbali za kifamilia watapewa fursa ya kurejea Shuleni katika mfumo rasmi. Waziri Ndalichako ametoa kauli hii leo akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma kuhusu mafanikio

    READ MORE
  • MBUNGE WA JIMBO LA SEGEREA BONAH AMPONGEZA RAIS SAMIA

    MBUNGE WA JIMBO LA SEGEREA BONAH AMPONGEZA RAIS SAMIA0

    NA HERI SHAABAN MBUNGE wa Segerea Bonah Ladslaus Kamoli amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Hassan Suluhu,kwa kuipatia jimbo la Segerea Bilioni 1.6 kwa ajili ya madarasa ya UVIKO 19. Mbunge Bonah alitoa pongeza hizo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo wakati wa ziara yake ya Sekta ya Elimu kukagua madarasa

    READ MORE
Translate »