TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2022
- ELIMU
- January 4, 2023
OR TAMISEMI, TARIME Naibu Waziri Ofisi ya Rais โ TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) ametoa siku saba kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Tarime kukamilisha maandalizi ya kupokea wanafunzi 80 wa kidato cha kwanza waliopangiwa katika Shule mpya ya Sekondari Bukira ili wapokelewe na kuanza masomo.Ametoa maelekezo hayo Januari 16, 2023 wakati akikagua ujenzi wa
READ MORENa WyESTMasasi, MTWARA Wito umetolewa kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum kutowaficha watoto ndani badala yake wawapeleke shule kwa kuwa zipo shule maalum kwa ajili ya watoto hao. Hayo yamesemwa na Prof. Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia alipokuwa akizindua majengo mapya ya Shule Jumuishi ya Mfano ya Msingi Lukuledi iliyojengwa na
READ MORENa Barnabas Kisengi-Kongwa SIKU za hivi karibu zimeibuka hoja ya wananchi wengi ambao wamehoji namna ya kuwachagua wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza kwa shule za bweni.Hoja za wananchi zinaonesha wazi kuwa kila mzazi anatamaniย mtoto wake achaguliwe katika shule za bweni. Akitoa ufafanuzi wa hoja za wazazi na walezu,ย Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais- TAMISEMI
READ MORENa; Emesto Eliudy, Dar Es Salaam Serikali kupitia Wizara ya elimu nchini, imeshauriwa kuandaa mitaala rafiki Kwa ajili ya masomo Kwa wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari ili kuwajengea uwezo mkubwa na uelewa mpana wa elimu wanafunzi hao. Ushauri huo umetolewa jijini Dar Es Salam na Mchungaji wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la
READ MOREBaraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo Januari 4, 2023 limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne mwaka 2022. Bonyeza hapa chini kutazama Matokeo ya Kidato cha Pili ๐๐๐๐ https://matokeo.necta.go.tz/ftna2022/ftna.htm Bonyeza hapa chini kutazama Matokeo ya Darasa la Nne. ๐๐๐ https://matokeo.necta.go.tz/sfna2022/sfna.htm
READ MOREBaraza la Mitihani Tanzania (Necta), limetangaza matokeo ya darasa la saba ya mwaka huu likisema watahiniwa zaidi ya 1.07 milioni kati ya 1.34 milioni wenye matokeo sawa na asilimia 79.62 wamefaulu kwa kupata madaraja A na B na C. Bonyeza hapa kuona Matokeo Darasa la Saba 2022… https://matokeo.necta.go.tz/psle2022/psle.htm Kati ya hao wasichana ni 558,825 ambao
READ MORE