• Wawekezaji Sekta Binafsi Waombwa Kuwekeza kwenye Shule za Mafunzo ya Amali.

    Wawekezaji Sekta Binafsi Waombwa Kuwekeza kwenye Shule za Mafunzo ya Amali.0

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda amewaomba Wamiliki waShule zisizo za Serikali nchini kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu ya mafunzo ya amaliambayo Serikali ya Awamu ya Sita inatarajia kuyatilia mkazo kama mapendekezo ya Rasimuya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 toleo la 2023 na mabadiliko ya Mtaala waElimu ya

    READ MORE
  • DKT.MSONDE AMEWATAKA MAOFISA ELIMU KUKAMILISHA MIRADI YA ELIMU.

    DKT.MSONDE AMEWATAKA MAOFISA ELIMU KUKAMILISHA MIRADI YA ELIMU.0

    Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), anayeshughulikia Elimu, Dkt. Charles Msonde amewataka Maofisa Elimu nchini kusimamia miradi ya elimu kwa kufuata sheria, taratibu na miongozo na kutoruhusu vikwazo vya kukwamisha utendaji kazi wao. Akifunga kikao kazi cha Maofisa Elimu Mikoa na Wilaya kilichofanyika jijini Dodoma Oktoba 4,

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AMEFUNGA MAFUNZO YA UHAMIAJI, AHIMIZA UADILIFU.

    WAZIRI MKUU AMEFUNGA MAFUNZO YA UHAMIAJI, AHIMIZA UADILIFU.0

    Waziri MKUU Kassim Majaliwa amewataka wahitimu 521 wa mafunzo ya Kozi Na. 01/2023 wakatumie vema ujuzi na maarifa waliyoyapata katika kudhibiti vitendo vya uhalifu hususan maeneo ya vipenyo, vituo na mipakani.  Ametoa wito huo leo Ijumaa (Septemba 29, 2023) alipofunga mafunzo hayo kwa askari wa Uhamiaji katika Chuo cha Mafunzo ya Uhamiaji cha Raphael Kubaga,

    READ MORE
Translate »