WANAFUNZI 10 BORA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021
- ELIMU
- January 16, 2022
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2021. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde ambapo pia, baraza hilo limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili 2021.
READ MOREGeorgina Misama- MAELEZO Kiswahili ni kati ya lugha zinazokua kwa kasi siku hadi siku, inakadiriwa kwamba zaidi ya watu milioni 100 barani Afrika wanatumia lugha ya Kiswahili ama kama lugha mama au lugha rasmi. Tanzania imekuwa nchi ya kwanza katika eneo la jangwa la Sahara kutumia Kiswahili kama lugha rasmi na lugha mama ambapo kinatumika
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa mradi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana Ruangwa na amesema kwamba Serikali imeadhamiria kuwekeza katika elimu ya mtoto wa kike kwa lengo la kumuwezesha kutimiza ndoto zake kielimu. Baada ya kukagua mradi huo, Waziri Mkuu amesema ameridhishwa na maendeleo yake na amewataka waliokabidhiwa jukumu la kusimamia ujenzi
READ MOREMkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare ametoa mwezi mmoja kwa watendaji wa kata mbili za Mbuyuni na Magadu manispaa ya Morogoro kuhakikisha wanajenga vyumba 5 vya madarasa katika shule ya sekondari SUA ili kumaliza mgogoro uliodumu kwa muda refu katika kata hizo kwa kila mmoja kudai shule hiyo ipo upande wake Uamuzi huo
READ MORE