WANAFUNZI 10 BORA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021
- ELIMU
- January 16, 2022
Na Mwandishi Wetu Mbeya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania(TEA) Bahati Geuzye amesisitiza umuhimu wa watendaji wa Halmashauri nchini kushirikiana na TEA katika usimamizi wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ya elimu inayofadhiliwa na Mfuko wa Elimu wa Taifa unaoratibiwa na TEA katika maeneo yao ili itekelezwe kwa ufanisi. Mkurugenzi mkuu wa TEA amesema
READ MOREBaraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2021. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde ambapo pia, baraza hilo limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili 2021.
READ MOREGeorgina Misama- MAELEZO Kiswahili ni kati ya lugha zinazokua kwa kasi siku hadi siku, inakadiriwa kwamba zaidi ya watu milioni 100 barani Afrika wanatumia lugha ya Kiswahili ama kama lugha mama au lugha rasmi. Tanzania imekuwa nchi ya kwanza katika eneo la jangwa la Sahara kutumia Kiswahili kama lugha rasmi na lugha mama ambapo kinatumika
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa mradi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana Ruangwa na amesema kwamba Serikali imeadhamiria kuwekeza katika elimu ya mtoto wa kike kwa lengo la kumuwezesha kutimiza ndoto zake kielimu. Baada ya kukagua mradi huo, Waziri Mkuu amesema ameridhishwa na maendeleo yake na amewataka waliokabidhiwa jukumu la kusimamia ujenzi
READ MORE