• WATENDAJI WA HALMASHAURI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA ‘TEA’ KUSIMAMIA MIRADI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU

    WATENDAJI WA HALMASHAURI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA ‘TEA’ KUSIMAMIA MIRADI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU0

    Na Mwandishi Wetu Mbeya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania(TEA) Bahati Geuzye  amesisitiza umuhimu wa watendaji wa Halmashauri nchini kushirikiana na TEA katika usimamizi wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ya elimu inayofadhiliwa na Mfuko wa Elimu wa Taifa unaoratibiwa na TEA katika maeneo yao ili itekelezwe kwa ufanisi. Mkurugenzi mkuu wa TEA amesema

    READ MORE
  • WANAFUNZI 10 BORA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021

    WANAFUNZI 10 BORA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 20210

    Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2021. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde ambapo pia, baraza hilo limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili 2021.

    READ MORE
  • WALIMU WENYE ULEMAVU WAELEKEZA KILIO CHAO SERIKALINI

    WALIMU WENYE ULEMAVU WAELEKEZA KILIO CHAO SERIKALINI0

    Walimu wenye ulemavu wamesema wamekuwa wakikaliwa na changamoto mbalimbali katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwemo miundombinu kutokuwa rafiki kwao. Wakizungumza leo jijini Dodoma katika kongangano lililowakutanisha walimu wenye ulemavu Tanzania, wamesema hali hiyo imepelekea kutofanya kazi zao kwa ufanisi unatakiwa. Aidha, wameiomba serikali kuwasaidia walimu wenye ulemavu kwa kupunguza changamoto zinazowakabili ambazo zimekuwa kikwazo kikubwa

    READ MORE
Translate »