• WAZIRI MKENDA AYATAKA MABENKI KUTOA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    WAZIRI MKENDA AYATAKA MABENKI KUTOA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI0

    Na Barnabas Kisengi,Dodoma Waziri wa kilimo Prof ADOLF MKENDA amezitaka taasisi za kibenki hapa nchini  kuhakisha zinawapunguzia riba na kuwapatia mikopo kwa wakati wakulima na wafugaji pindi wanapokuwa wanahitaji mitaji katika shughuli za kilimo na mifugo ili kuhakikisha wakulima wanafaidika na kilimo chenye tija na kilimo biashara ambapo asilimia kubwa ya watanzania ni wakulima. Kauli

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AITAKA BODI YA KOROSHO KUTAFUTA MASOKO YA UHAKIKA

    WAZIRI MKUU AITAKA BODI YA KOROSHO KUTAFUTA MASOKO YA UHAKIKA0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Bodi ya Korosho Tanzania ihakikishe inatafuta masoko ya uhakika ya zao hilo na yatakayotoa bei nzuri na kuwanufaisha wakulima. Pia, Waziri Mkuu ameitaka bodi hiyo isimamie mwenendo wa ujenzi wa viwanda vidogo na vikubwa vya kubangulia korosho katika maeneo yote yanayolima zao hilo ili kuondokana na uuzwaji wa korosho ghafi.

    READ MORE
  • WAZIRI MKENDA NA MKAKATI WA KUIMARISHA BEI ZA MAZAO YA KILIMO

    WAZIRI MKENDA NA MKAKATI WA KUIMARISHA BEI ZA MAZAO YA KILIMO0

    Waziri wa Kilimo Mhe Prof Adolf Mkenda ameeleza kuwa serikali inaendelea na mkakati wa kuimarisha bei za mazao ya kilimo. Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Wizara ya Kilimo Jijini Dar es salaam ambapo amebainisha kuwa Serikali inapenda kuwaona wakulima wanapata faida kutokana na kilimo, ndiyo maana haijaweka kodi

    READ MORE
Translate »