WAKULIMA MKOANI DODOMA WASHAURIWA KULIMA MAZAO YANAYOHIMILI UKAME
- Kilimo
- June 2, 2021
*Kinatumika kupima mafuta ya Mawese WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Tobias Andengenye kwa kushirikiana na SIDO wahakikishe wanaingiza sokoni vipimo rasmi vya kupimia mafuta ya mawese na kuachana na vipimo vya asili maarufu kama BIDOO ambacho kimekuwa kikiwanyonya wakulima. Ametoa agizo hilo leo (Jumatatu, Februari 27, 2023) alipotembelea Viwanda vya Kukamua mafuta
READ MORENa Mwandishi Wetu kigoma RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUH HASSAN imedhamiria kumaliza tatizo la upatikanaji wa mafuta ya kula nchini kwa kufanya mageuzi makubwa katika mazao ya mafuta ikiwemo michikichi.Mageuzi haya yanakwenda sambamba na kupanda miche mipya iliyoboreshwa ambayo ina uzalishaji mkubwa wa mafuta. Wana-Kigoma tuamue sasa hivi tupande michikichi
READ MORENa Moreen Rojas Dodoma Bodi ya usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa madalali kuacha tabia ya kuwarubuni wakulima na badala yake kuwaacha waingie kwenye mfumo wa Stakabadhi ghalani ili kuuza mazao yao kulingana na bei iliyopo sokoni. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa stakabadhi za ghala (WRRB) Asangye Bangu amesema hayo
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma Imeelezwa kuwa mpango wa mbolea ya ruzuku umeleta nafuu kubwa kwenye shuguli za uzalishaji wa kahawa kwa kampuni ya kilimo cha kahawa ya Karatu Coffee Eatate LTD iliyoko Wilaya ya Karatu mkoani Arusha. Kabla ya serikali kuja na mpango wa mbolea ya ruzuku kampuni ilikuwa ikitumia kiasi cha ahilingi milioni 250
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amefanya kikao na Maafisa ugani kutoka Wilaya za halmashauri zote za mkoa wa Dodoma ikiwa ni jitihada za kuleta mapinduzi ya uchumi unaotokana na sekta ya Kilimo Mkoani Dodoma.Senyamule amesikitishwa na takwimu za matumizi ya ardhi ya kilimo inayotumiwa na wakulima ukilinganisha na ukubwa
READ MORE