• Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa Madalali kuacha  kuwarubuni  Wakulima

    Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa Madalali kuacha kuwarubuni Wakulima0

    Na Moreen Rojas  Dodoma Bodi ya usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa madalali kuacha tabia ya kuwarubuni wakulima na badala yake kuwaacha waingie kwenye mfumo wa Stakabadhi ghalani ili kuuza mazao yao kulingana na bei iliyopo sokoni. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa stakabadhi za ghala (WRRB)  Asangye Bangu amesema hayo

    READ MORE
  • MBOLEA ZA RUZUKU ZALETA MANUFAA KILIMO CHA KAHAWA KARATU

    MBOLEA ZA RUZUKU ZALETA MANUFAA KILIMO CHA KAHAWA KARATU0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Imeelezwa kuwa mpango wa mbolea ya ruzuku umeleta nafuu kubwa kwenye shuguli za uzalishaji wa  kahawa kwa kampuni ya kilimo cha kahawa ya Karatu Coffee Eatate LTD iliyoko Wilaya ya Karatu mkoani Arusha. Kabla ya serikali kuja na mpango wa mbolea ya ruzuku kampuni ilikuwa ikitumia kiasi cha ahilingi milioni 250

    READ MORE
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUSHUKA KWA WAKULIMA

    MAAFISA UGANI WATAKIWA KUSHUKA KWA WAKULIMA0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule  amefanya kikao na Maafisa ugani kutoka Wilaya za halmashauri zote za mkoa wa Dodoma ikiwa ni jitihada za kuleta mapinduzi ya uchumi unaotokana na sekta ya Kilimo Mkoani Dodoma.Senyamule amesikitishwa na takwimu za matumizi ya ardhi ya kilimo inayotumiwa na wakulima ukilinganisha na ukubwa

    READ MORE
Translate »