• Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa Madalali kuacha  kuwarubuni  Wakulima

    Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa Madalali kuacha kuwarubuni Wakulima0

    Na Moreen Rojas  Dodoma Bodi ya usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) imetoa wito kwa madalali kuacha tabia ya kuwarubuni wakulima na badala yake kuwaacha waingie kwenye mfumo wa Stakabadhi ghalani ili kuuza mazao yao kulingana na bei iliyopo sokoni. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa stakabadhi za ghala (WRRB)  Asangye Bangu amesema hayo

    READ MORE
  • MBOLEA ZA RUZUKU ZALETA MANUFAA KILIMO CHA KAHAWA KARATU

    MBOLEA ZA RUZUKU ZALETA MANUFAA KILIMO CHA KAHAWA KARATU0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Imeelezwa kuwa mpango wa mbolea ya ruzuku umeleta nafuu kubwa kwenye shuguli za uzalishaji wa  kahawa kwa kampuni ya kilimo cha kahawa ya Karatu Coffee Eatate LTD iliyoko Wilaya ya Karatu mkoani Arusha. Kabla ya serikali kuja na mpango wa mbolea ya ruzuku kampuni ilikuwa ikitumia kiasi cha ahilingi milioni 250

    READ MORE
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUSHUKA KWA WAKULIMA

    MAAFISA UGANI WATAKIWA KUSHUKA KWA WAKULIMA0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule  amefanya kikao na Maafisa ugani kutoka Wilaya za halmashauri zote za mkoa wa Dodoma ikiwa ni jitihada za kuleta mapinduzi ya uchumi unaotokana na sekta ya Kilimo Mkoani Dodoma.Senyamule amesikitishwa na takwimu za matumizi ya ardhi ya kilimo inayotumiwa na wakulima ukilinganisha na ukubwa

    READ MORE
  • RUVUMA: WAZIRI BASHE AAMURU MBOLEA KUUZWA HADI SAA 12 JIONI

    RUVUMA: WAZIRI BASHE AAMURU MBOLEA KUUZWA HADI SAA 12 JIONI0

    Na Barnabas Kisengi Ruvuma. Waziri wa Kilimo, Husein Bashe amemuomba Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Julius Ningu kuwawezesha wasambazaji wa mbolea kufanya kazi mpaka saa 12 jioni ili waweze kuwahudumia wakulima wanaohitaji huduma hiyo kwa msimu huu wa kilimo. Tuwawezesha kupata askari watakaolinda eneo la biashara na baadaye kuwasindikiza bank ili waweze kuweka pesa

    READ MORE
  • Mkuu wa Mkoa Kigoma aipongeza TFRA kutatua changamoto uchache wa Mawakala Mbolea za Ruzuku

    Mkuu wa Mkoa Kigoma aipongeza TFRA kutatua changamoto uchache wa Mawakala Mbolea za Ruzuku0

    Na Barnabas Kisengi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kwa kuchukua hatua za haraka katika kutatua changamoto ya uchache wa mawakala wa mbolea za ruzuku katika mkoa huo. Ametoa pongezi hizo  Oktoba, 262022 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA, Dkt. Stephan Ngailo aliyewasili mkoani hapo kwa shughuli

    READ MORE
  • MAJALIWA: HAKIKISHENI MBOLEA INAWAFIKIA WAKULIMA

    MAJALIWA: HAKIKISHENI MBOLEA INAWAFIKIA WAKULIMA0

    Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa amewataka wakulima nchini kujipanga kulima kwa tija na kubainisha serikali imeweka mipango mahususi kuhakikisha wakulima wanapata pembejeo ya mbolea kwa wakati na kwa bei himilivu. Amewahakikishia wakulima wanaofanya shughuli zao za kilimo mbali na maeneo ya mijini kuwa, makampuni ya mbolea 

    READ MORE
Translate »