CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepongeza Mwenyekiti wa Chama hicho Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mapambano dhidi ya UVIKO19 huku kikitoa wito kwa Viongozi wa Kamati za Siasa kuanzia ngazi ya Shina hadi Mkoa kuhakikisha wana simamia kwa karibu mradi huo wa kupambana na UVIKO19 ili Fedha
READ MOREZifuatazo ni baadhi ya nukuu za Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tanzania Bara, Benson Kigaila alipozungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Oktoba 11, 2021 katika Makao Makuu ya chama hicho yaliyopo Mtaa wa Ufipa Kinondoni Jijini Dar es Salaam “Mwezi April Mwenyekiti Freeman Mbowe alimuandikia barua Rais Samia ya
READ MOREWaziri Mstaafu wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi jasiri na mahiri, anatosha kuiongoza Tanzania na anamuunga mkono kwa kazi kubwa anayoifanya. Membe ameyasema hayo leo (Jumanne 5 Octoba 2020) alipozungumza mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ambaye yuko katika ziara ya kikazi ya kukagua miradi ya maendeleo Mkoani
READ MOREMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM iliyokutana leo Oktoba 03,2021 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
READ MORE