- Habari, Kitaifa, Siasa
- October 17, 2023
Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) Mama Mariam Mwinyi amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Jokate Mwegelo na ujumbe wake Ikulu Migombani leo tarehe 17 Oktoba, 2023. Mama Mariam Mwinyi amempongeza Jokate kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu
READ MORE- Habari, Kitaifa, Siasa
- October 10, 2023
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla amewataka Viongozi na wanachama wa CCM Mkoa wa Tanga kuunganisha nguvu zao na kuwa na lengo moja la kushinda kwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika 2024. Akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi Wilaya
READ MORECHAMA Cha Mapinduzi, CCM kimesema kimedhamiria kuwawezeshawatendaji wake kiuchumi ikiwemo kuwalipa posho la kila mwezi mabalozi wangazi zote za ChamaMakamu Mwenyekiti wa Chama hicho,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. HusseinAli Mwinyi ameyasema hayo Ukumbi wa Umoja ni nguvu, Wilaya ya Mkoanikatika ziara yake ya Chama kisiwani Pemba.Dk. Mwinyi alisema, Chama
READ MORE