• Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi amekutana na Katibu Mkuu wa UWT Jokate Mwegelo.

    Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi amekutana na Katibu Mkuu wa UWT Jokate Mwegelo.0

    Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) Mama Mariam Mwinyi amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Jokate Mwegelo na ujumbe wake Ikulu Migombani leo tarehe 17 Oktoba, 2023. Mama Mariam Mwinyi amempongeza Jokate kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu

    READ MORE
  • Unganisheni Nguvu Mshinde Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

    Unganisheni Nguvu Mshinde Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.0

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla amewataka Viongozi na wanachama wa CCM Mkoa wa Tanga kuunganisha nguvu zao na kuwa na lengo moja la kushinda kwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika 2024. Akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi Wilaya

    READ MORE
  • CCM imedhamiria kuwawezesha watendaji wake kiuchumi.

    CCM imedhamiria kuwawezesha watendaji wake kiuchumi.0

    CHAMA Cha Mapinduzi, CCM kimesema kimedhamiria kuwawezeshawatendaji wake kiuchumi ikiwemo kuwalipa posho la kila mwezi mabalozi wangazi zote za ChamaMakamu Mwenyekiti wa Chama hicho,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. HusseinAli Mwinyi ameyasema hayo Ukumbi wa  Umoja ni nguvu, Wilaya ya Mkoanikatika ziara yake ya Chama kisiwani Pemba.Dk. Mwinyi alisema, Chama

    READ MORE
Translate »