Na,Barnabas Kisengi Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha yaridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapindizi (CCM) katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Wilayani Arumeru ambapo mbali na fedha za zinatolewa na Serikali kuu, Halmashauri hiyo kupitia mapato yake ya ndani kwa mwaka wa fedha2022\/2023 unaoendelea imetoa zaidi Milioni 935.5 za utekelezaji wa Miradi
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dodoma CCM Alhaji ADAM KIMBISA ameitaka kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi kata ya kilimani kuhakikisha inasima na kuhakikisha viongozi wa cha na Serikali wanafanya mikutano ya adhara kwa Wananchi naekuwaekeza miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na RAIS
READ MOREKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amesema Tanzania haina mzigo wa Madeni kama ilivyo kwa mataifa mengine ya Afrika Mashariki, tuwapuuze watu wanaobeza mpango wa Serikali kukopa Fedha Nje ya Nchi, kwani hatua ya Serikali kukopa ni kuendelea Kuijenga Tanzania ili iwe imara Kiuchumi kama ilivyo kwa mataifa yaliyopiga hatua Kimaendeleo.
READ MORENa Mwandishi Wetu Dar es salaam Katibu mpya wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Idara ya Itikadi na Uenezi Sophia Mjema amewataka watumishi wa Chama na maafisa wa idara yake ya Itikadi na Uenezi kuchangamsha akili na weledi katika kutekeleza majukumu yao. Mjema ambaye aliteuliwa January 14 2023 kupitia vikao
READ MORENa Mwandishi Wetu Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo January 16 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) ,Ikulu Zanzibar. Uongozi wa Jumuiya hiyo uliongozwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa
READ MORE