• Spika Dkt. Tulia amezungumza na Mwenyekiti wa UWT Mary Chatanda.

    Spika Dkt. Tulia amezungumza na Mwenyekiti wa UWT Mary Chatanda.0

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Ndg. Mary Chatanda alipomtembelea leo tarehe 3 Februari, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amefanya mazungumzo na Mwenyekiti waREAD MORE
  • SOPHIA MJEMA AWATAKA VIONGOZI CCM KUCHANGAMSHA AKILI

    SOPHIA MJEMA AWATAKA VIONGOZI CCM KUCHANGAMSHA AKILI0

    Na Mwandishi Wetu Dar es salaam Katibu mpya wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Idara ya Itikadi na Uenezi Sophia Mjema amewataka watumishi wa Chama na maafisa wa idara yake ya Itikadi na Uenezi kuchangamsha akili na weledi katika kutekeleza majukumu yao. Mjema ambaye aliteuliwa January 14 2023  kupitia vikao

    READ MORE
  • RAIS DKT. HUSSEIN MWINYI AKUTANA NA VIONGOZI WA UWT

    RAIS DKT. HUSSEIN MWINYI AKUTANA NA VIONGOZI WA UWT0

    Na Mwandishi Wetu Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo January 16 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Umoja  wa Wanawake Tanzania (UWT) ,Ikulu Zanzibar. Uongozi wa Jumuiya hiyo uliongozwa  na Mwenyekiti wa UWT Taifa

    READ MORE
Translate »