Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUH HASSAN ameongoza kikao cha kamati kuu CCM Taifa January 14 2023 Jijini Dar es salaam ambapo katika kikao hicho kimefanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Taifa. Katika mabadiliko ya nafasi hizo za juu
READ MORENa Mwandishi Wetu Mwanza WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa wa mkoani Mwanza wamewaomba viongozi wenzao kujibu hoja majukwaani kwa hekima na busara wakizingatia utekelezaji unaofanywa na serikali yao. Kauli hiyo imetolewa Jijini Mwanza na wajumbe hao, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula na Elen Bogohe katika
READ MORENa Moreen Rojas, Dodoma. Katibu Mkuu CCM Ndg.Daniel Chongolo amewataka wajumbe wa uchaguzi wa mikoa kuchagua viongozi waadilifu. Chongolo ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Covention jijini Dodoma. Amesema kuwa wameamua kusimamisha uchaguzi wa vijana mkoa wa Simiyu kutokana na rushwa,kusimamisha uchaguzi wa nafasi ya mjumbe Mbeya kwa
READ MOREÑa Barnabas Kisengi-Dodoma Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi kata ya Kilimani imekutana katika kikao chake cha kwanza kwa mujibu wa Katiba kwaaajili ya kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo na kukijenga Chama cha Mapinduzi. Akifungua kikao hicho Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Kilimani Nathan Chibehe amesema “Sasa uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi kwa
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma Chama cha Mapinduzi kata ya KILIMANI Jijini Dodoma kimekamilisha kufanya uchaguzi wa jumuiya ya wanawake UWT kata ya KILIMANI na kuwapata viongozi wa kata hiyo baada ya uchaguzi huo kuhairishwa mara kwa mara. Uchaguzi huo wa jumuiya ya wanawake UWT kata ya KILIMANI umekamilika kwa kumpata Mwenyekiti na katibu wa UWT
READ MORE