• CCM YAFANYA MABADILIKO WAJUMBE SEKRETARIETI YA TAIFA

    CCM YAFANYA MABADILIKO WAJUMBE SEKRETARIETI YA TAIFA0

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUH HASSAN ameongoza kikao cha kamati kuu CCM Taifa January 14 2023 Jijini Dar es salaam ambapo katika kikao hicho kimefanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Taifa. Katika mabadiliko ya nafasi hizo za juu

    READ MORE
  • Wajumbe wa Halmashauri kuu Taifa (NEC) Mwanza wataka CCM ijibu hoja kwa Usitarabu Majukwaani

    Wajumbe wa Halmashauri kuu Taifa (NEC) Mwanza wataka CCM ijibu hoja kwa Usitarabu Majukwaani0

    Na Mwandishi Wetu Mwanza WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa wa mkoani Mwanza wamewaomba viongozi wenzao kujibu hoja majukwaani kwa hekima na busara wakizingatia utekelezaji unaofanywa na serikali yao. Kauli hiyo imetolewa  Jijini Mwanza na wajumbe hao, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula na Elen Bogohe katika

    READ MORE
  • KATIBU MKUU CCM TAIFA AMEWATAKA WAJUMBE WA UCHAGUZI WA MIKOA KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU.

    KATIBU MKUU CCM TAIFA AMEWATAKA WAJUMBE WA UCHAGUZI WA MIKOA KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU.0

    Na Moreen Rojas, Dodoma. Katibu Mkuu CCM Ndg.Daniel Chongolo amewataka wajumbe wa uchaguzi wa mikoa kuchagua viongozi waadilifu. Chongolo ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Covention jijini Dodoma. Amesema kuwa wameamua kusimamisha uchaguzi wa vijana mkoa wa Simiyu kutokana na rushwa,kusimamisha uchaguzi wa nafasi ya mjumbe Mbeya kwa

    READ MORE
  • HABARI PICHA – MASAUNI AWATAKA WATENDAJI WAPYA CCM KUFUATA MAADILI YA CHAMA, KUBUNI MIRADI YA MAENDELEO

    HABARI PICHA – MASAUNI AWATAKA WATENDAJI WAPYA CCM KUFUATA MAADILI YA CHAMA, KUBUNI MIRADI YA MAENDELEO0

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Watendaji mbalimbali wa CCM Jimbo la Kikwajuni katika Mafunzo Elekezi kwa Watendaji hao, yaliyofanyika jimboni humo, Unguja, Zanzibar, leo Oktoba 6, 2022. Masauni amewataka Watendaji hao waliochaguliwa hivi karibuni kufuata maadili ya chama na kuwa wabunifu wamiradi mbalimbali yaREAD MORE
  • KAMATI YA SIASA CCM KATA YA KILIMANI KUANDAA MKUTANO KUWASHUKURU WANACHAMA

    KAMATI YA SIASA CCM KATA YA KILIMANI KUANDAA MKUTANO KUWASHUKURU WANACHAMA0

    Ña Barnabas Kisengi-Dodoma Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi kata ya Kilimani imekutana katika kikao chake cha kwanza kwa mujibu wa Katiba kwaaajili ya kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo na kukijenga Chama cha Mapinduzi. Akifungua kikao hicho Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Kilimani Nathan Chibehe amesema “Sasa uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi kwa

    READ MORE
  • UWT KATA YA KILIMANI YAPATA UONGOZI MPYA

    UWT KATA YA KILIMANI YAPATA UONGOZI MPYA0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Chama cha Mapinduzi kata ya KILIMANI Jijini Dodoma kimekamilisha kufanya uchaguzi wa jumuiya ya wanawake UWT kata ya KILIMANI na kuwapata viongozi wa kata hiyo baada ya uchaguzi huo kuhairishwa mara kwa mara. Uchaguzi huo wa jumuiya ya wanawake UWT kata ya KILIMANI umekamilika kwa kumpata Mwenyekiti na katibu wa UWT

    READ MORE
Translate »