Na Barnabas Kisengi-Dodoma Nathan Chibehe ameibuka kuwa mshindi nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Kilimani Jijini Dodoma baada ya kumshinda aliyekuwa akitetea nafasi hiyo, Herry Kiwaya kufuatia chaguzi zinazoendelea kufanyika ndani ya Chama Cha Mapinduzi CCM. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo Jijini Dodoma uliofanyika katika Jengo la Ofisi ya Chama cha Mapinduzi
READ MORENairobi. Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya, kupitia wa Azimio la Umoja, Raila Odinga Raila, amekataa matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, 2022, yaliyotangazwa jana na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati. Jana, Chebukati alimtangaza mgombea urais kupitia Kenya Kwanza Dk William Ruto kuwa mshindi kwa kupata kura milioni
READ MORETume ya Uchaguzi Huru na Mipaka (IEBC) imemtangaza aliyekuwa Naibu Rais, William Ruto (55) kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano kwa tiketi ya Chama cha UDA kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, 2022. Tume imesema Ruto amepata Kura 7,176,141 sawa na asilimia 50.49 huku akifuatiwa na Raila Odinga kutoka Chama cha Azimio la Umoja
READ MOREWananchi wa Kenya Agusti 9, 2022 walijitokeza kupiga kura kumchagua rais wa Taifa hilo huku mchuano mkali ukiwa kati ya Raila Odinga na William Ruto huku wakifuatiwa kwa mbali na wagombea wengine. Fuatilia Matokeo ya Uchaguzi Mkuu Kenya Hapa 👉👉https://elections.nation.africa/
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma. Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tawi la chinyoyo kata ya kilimani Jijini Dodoma (U.W.T) wamefanya Uchaguzi wa viongozi wa ngazi mbalimbali katika Jumuiya hiyo na kupata viongozi watakaongoza jumuiya hiyo ya Tawi la chinyoya kwa kipindi cha miaka mitano. Uchaguzi huo ulikuwa katika kuwania nafasi mbalimbali za Jumuiya
READ MORE