• WAKUU WA SHULE, MADEREVA ZINGATIENI USALAMA WA WANAFUNZI KIPINDI CHA MVUA 

    WAKUU WA SHULE, MADEREVA ZINGATIENI USALAMA WA WANAFUNZI KIPINDI CHA MVUA 0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wamiliki wa shule na madereva wa mabasi yanayotoa huduma za usafiri kwa wanafunzi wajiridhishe kuhusu njia wanazopita ili kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa wanafunzi wanaowabeba katika vyombo vya usafiri. “Wazazi, Walezi na Jamii ya Watanzania kwa ujumla tushiriki kikamilifu katika kuhakikisha usalama wa wanafunzi wanapokwenda na kurudi Shuleni wakati wote hususan katika

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIWA BUNGENI.

    WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIWA BUNGENI.0

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mchinga, Salma Kikwete, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 24, 2024. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama, Bungeni jijini Dodoma, Aprii 24, 2024.READ MORE
  • MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI.

    MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI.0

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia,  Omary Kipanga, bungeni jijini Dodoma, Aprili 23, 2024.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi, bungeni jijini Dodoma,  Aprili 23, 2024.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Maswa Magharibi, Mashimba Ndaki, bungeni jijini Dodoma,  Aprili 23, 2024.  WaziriREAD MORE
Translate »