WAZIRI MKUU Kasim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya waweke utaratibu wa kutoa taarifa za michango inayotolewa na wadau kwenye maafa ili kujenga imani kwao. “Natoa wito kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao ni wakuu wa Kamati za Maafa kwenye maeneo yao watoe mrejesho ili kuweka uwazi na kujenga imani kwa
READ MORE- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa akiwasili Bungeni tayari kuwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 Viongozi na Wageni mbalimbali wa Ofisi ya Rais TAMISEMI wakiwa Bungeni tayari kusikiliza Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwaREAD MORE
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mahakama zimeanza kutumia mfumo unaonasa sauti na kuzibadilisha kwenda kwenye maandishi huku ukitafsiri lugha za Kiingereza na Kiswahili. “Hii ni hatua kubwa sana kwani mfumo huo unarekodi sauti na kupeleka kwenye maandishi. Vilevile, unaweza kutafsiri lugha ya Kiswahili au Kiingereza kulingana na uhitaji,” amesema na kuongeza: “Kanuni za Mahakama zimeanza
READ MORE