
- Bungeni, Habari
- November 10, 2023
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema wanafunzi 1,206,995 kati ya 1,397,370 waliohitimu darasa la saba mwaka huu wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza ifikapo Januari, mwakani. “Wanafunzi 1,206,995 sawa na asilimia 86.4 ya wanafunzi 1,397,370 waliosajiliwa kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2023 wanatarajiwa kujiunga na elimu ya sekondari Januari, 2024,” amesema. Hayo yamesemwa leo (Ijumaa, Novemba 10,
READ MORE
- Bungeni, Habari, Kitaifa
- November 3, 2023
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Pindi Chana, bungeni jijini Dodoma, Novemba 3, 2023. Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu, bungeni jijini Dodoma, Novemba 3, 2023.
READ MORE
- Bungeni, Habari, Kitaifa
- November 3, 2023
SERIKALI imefanya maboresho kwenye baadhi ya maeneo katika Sera ya Elimu na Mafunzo ili kutoa elimu ya ujuzi badala ya elimu ya taaluma pekee ambapo elimu ya lazima itakuwa ya miaka 10 badala ya saba kama ilivyo sasa. Akitoa taarifa kuhusu maboresho hayo, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema utekelezaji wa maboresho hayo utaanza mwaka 2027 sambamba na
READ MORE