• HOTUBA YA WAZIRI MKUU MH, MAJALIWA LEO BUNGENI.

    HOTUBA YA WAZIRI MKUU MH, MAJALIWA LEO BUNGENI.0

    HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB.), WAZIRIMKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUAHIRISHAMKUTANO WA 13 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 10 NOVEMBA, 2023 JIJINI DODOMA UTANGULIZIShukurani Check Against Delivery 2 Check Against Delivery 3 Maswali na Majibu Tatu: Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa wote

    READ MORE
  • MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI LEO NOVEMBA 10,2023.

    MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI LEO NOVEMBA 10,2023.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hoja ya kuahirisha mkutano wa 13 wa Bunge jijini Dodoma. Novemba 10, 2023. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hoja ya kuahirisha mkutano wa 13 wa Bunge jijini Dodoma. Novemba 10, 2023. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo Zitto Kabwe, kwenye viwanja vya Bunge jijini

    READ MORE
  • ROBO YA KWANZA SERIKALI IMEKUSANYA TRILIONI 9.06.

    ROBO YA KWANZA SERIKALI IMEKUSANYA TRILIONI 9.06.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024, mapato kutoka vyanzo vyote vya ndani na nje yalifikia shilingi trilioni 9.06 sawa na asilimia 89.6 ya lengo la kipindi hicho. “Kati ya kiasi hicho, mapato ya ndani yalikuwa shilingi trilioni 6.94 sawa na asilimia 96.2 ya lengo la kipindi hicho,” amesema. Amesema hayo

    READ MORE
  • Wanafunzi 1,206,995 wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza Januari, mwakani.

    Wanafunzi 1,206,995 wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza Januari, mwakani.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema wanafunzi 1,206,995 kati ya 1,397,370 waliohitimu darasa la saba mwaka huu wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza ifikapo Januari, mwakani. “Wanafunzi 1,206,995 sawa na asilimia 86.4 ya wanafunzi 1,397,370 waliosajiliwa kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2023 wanatarajiwa kujiunga na elimu ya sekondari Januari, 2024,” amesema. Hayo yamesemwa leo (Ijumaa, Novemba 10,

    READ MORE
  • Waziri Mkuu Majaliwa akizungumza na Wabunge Bungeni.

    Waziri Mkuu Majaliwa akizungumza na Wabunge Bungeni.0

    Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Pindi Chana,  bungeni jijini Dodoma, Novemba 3, 2023. Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa  Singida Magharibi, Elibariki Kingu, bungeni jijini Dodoma, Novemba 3, 2023.

    READ MORE
  • SERIKALI IMEFANYA MABORESHO YA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO.

    SERIKALI IMEFANYA MABORESHO YA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO.0

    SERIKALI imefanya maboresho kwenye baadhi ya maeneo katika Sera ya Elimu na Mafunzo ili kutoa elimu ya ujuzi badala ya elimu ya taaluma pekee ambapo elimu ya lazima itakuwa ya miaka 10 badala ya saba kama ilivyo sasa.  Akitoa taarifa kuhusu maboresho hayo, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema utekelezaji wa maboresho hayo utaanza mwaka 2027 sambamba na

    READ MORE
Translate »