• WANANCHI WA NKASI KUNUFAIKA NA  HEKTA 10 TOKA HIFADHI YA LOASI

    WANANCHI WA NKASI KUNUFAIKA NA HEKTA 10 TOKA HIFADHI YA LOASI0

    Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa wanatarajiwa kumegewa eneo lenye ukubwa wa hekta 10,828 kutoka  katika Msitu wa Hifadhi wa Loasi kwa ajili ya shughuli za kilimo, ufugaji na makazi. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja amesema hayo bungeni kwa Niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii alipokuwa akijibu

    READ MORE
  • OFISA YA BUNGE YAANZISHA MABONANZA KWA AJILI YA WABUNGE

    OFISA YA BUNGE YAANZISHA MABONANZA KWA AJILI YA WABUNGE0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Aksoni amesema Ofisi ya Bunge imeanzisha utaratibu wa kuwa na Bonanza la michezo kwa waheshimiwa wabunge na watumishi wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Dkt Tulia amesema mabonanza hayo yatafanyika mara nne kila mwaka katika vipindi vya mikutano

    READ MORE
  • UTAMBUZI WA MIFUGO KWA HERENI ZA KIELEKTRONIKI UMESITISHWA KWA MUDA-MAJALIWA

    UTAMBUZI WA MIFUGO KWA HERENI ZA KIELEKTRONIKI UMESITISHWA KWA MUDA-MAJALIWA0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kielektroniki na kuzuka kwa moto katika Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro, Bungeni jijini Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kielektroniki na kuzuka kwa moto

    READ MORE
  • SERIKALI INATAMBUA MCHANGO ULIOTOLEWA NA BALOZI RUPIA-MAJALIWA

    SERIKALI INATAMBUA MCHANGO ULIOTOLEWA NA BALOZI RUPIA-MAJALIWA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inatambua mchango mkubwa uliotolewa na marehemu Balozi Paul Rupia wakati wa utumishi wake na hata baada ya kustaafu. “Moja ya jambo ambalo halitasahaulika ni uthubitu wake wa kuanzisha Benki ya Watu wa Dar es Salaam (DCB) ambayo alikuwa mwenyekiti wake na hadi  anaondoka katika uongozi aliicha benki hiyo ikiwa

    READ MORE
  • RAIS SAMIA AIDHINISHA BILIONI 150 ZA RUZUKU YA MBOLEA

    RAIS SAMIA AIDHINISHA BILIONI 150 ZA RUZUKU YA MBOLEA0

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma  hotuba ya kuahirisha Bunge jijini Dodoma,  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongengezwa na wabunge baada ya kusoma hotuba ya kuahirisha Bunge jijini Dodoma, Septemba 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) ………………………………….. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ameidhinisha shilingi bilioni 150 kutumika kwa ajili ya ruzuku

    READ MORE
  • BUNGE LAPITISHA MUSWADA WA SHERIA YA USIMAMIZI WA MAAFA

    BUNGE LAPITISHA MUSWADA WA SHERIA YA USIMAMIZI WA MAAFA0

    Ña Barnabas Kisengi Dodoma Muswada wa sheria ya Usimamizi wa maafa Imepitishwa bungeni leo jijini Dodoma baada ya kuwasilisha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene  alisema  kupitishwa kwa muswada huo  kutawezeshwa kutungwa . Waziri Simbachawene  amesema katika kipindi cha miaka saba ya utekelezaji wa sheria ya maafa

    READ MORE
Translate »