• SERIKALI IMEFANYA MABORESHO YA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO.

    SERIKALI IMEFANYA MABORESHO YA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO.0

    SERIKALI imefanya maboresho kwenye baadhi ya maeneo katika Sera ya Elimu na Mafunzo ili kutoa elimu ya ujuzi badala ya elimu ya taaluma pekee ambapo elimu ya lazima itakuwa ya miaka 10 badala ya saba kama ilivyo sasa.  Akitoa taarifa kuhusu maboresho hayo, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema utekelezaji wa maboresho hayo utaanza mwaka 2027 sambamba na

    READ MORE
  • Rais Samia amehutubia Bunge la Zambia wakati akihitimisha ziara yake.

    Rais Samia amehutubia Bunge la Zambia wakati akihitimisha ziara yake.0

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu akihutubia Bunge la Zambia wakati akihitimisha ziara yake ya kitaifa nchini humo tarehe 25 Oktoba, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Zambia ulioongozwa na Rais wa Nchi

    READ MORE
  • SPIKA TULIA ACKSON RAIS WA MABUNGE DUNIANI.

    SPIKA TULIA ACKSON RAIS WA MABUNGE DUNIANI.0

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (Mb) akizungumza mara baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) katika uchaguzi uliofanyika tarehe 27 Oktoba, 2023 Jijini Luanda nchini Angola wakati wa Mkutano wa 147 wa Umoja huo. Mhe. Dkt Tulia alishinda uchaguzi huo mara baada ya

    READ MORE
  • HOTUBA YA WAZIRI MKUU AKIAHIRISHA BUNGE

    HOTUBA YA WAZIRI MKUU AKIAHIRISHA BUNGE0

    HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB.), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUAHIRISHA MKUTANO WA 12 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 8 SEPTEMBA, 2023 JIJINI DODOMA UTANGULIZI Shukrani Mheshimiwa Spika, leo tunapoelekea kuhitimisha shughuli za Mkutano wa 12 wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU ATOA AGIZO KWA NAIBU WAZIRI MKUU

    WAZIRI MKUU ATOA AGIZO KWA NAIBU WAZIRI MKUU0

    *Amtaka ashughulikie changamoto ya upatikanaji wa mafuta nchini WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amemuagiza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko aendelee kushughulikia suala la changamoto ya upatikanaji wa nishati ya mafuta katika maeneo mbalimbali nchini. “…Watanzania wapate hii huduma, upatikanaji huu ni muhimu kuhusisha taasisi zote za mafuta na wanunuaji mafuta kwa

    READ MORE
  • RAISI SAMIA AMTEUA LUKUVI.

    RAISI SAMIA AMTEUA LUKUVI.0

    READ MORE
Translate »