- Bungeni, Habari
- February 11, 2023
Waziri Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan iko makini na itaendelea kufuatilia miradi yote inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini ili kudhibiti matumizi mabaya ya mali ya umma. Pia, Mheshimiwa Majaliwa amesema Serikali kupitia ofisi ya Waziri Mkuu imeandaa mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya mipango na
READ MORE- Bungeni, Habari
- February 8, 2023
Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa wanatarajiwa kumegewa eneo lenye ukubwa wa hekta 10,828 kutoka katika Msitu wa Hifadhi wa Loasi kwa ajili ya shughuli za kilimo, ufugaji na makazi. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja amesema hayo bungeni kwa Niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii alipokuwa akijibu
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Aksoni amesema Ofisi ya Bunge imeanzisha utaratibu wa kuwa na Bonanza la michezo kwa waheshimiwa wabunge na watumishi wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Dkt Tulia amesema mabonanza hayo yatafanyika mara nne kila mwaka katika vipindi vya mikutano
READ MORE