• UWEKAJI VIGINGI PORI LA LOLIONDO HAUTOATHIRI MAENDELEO YA WANANCHI-MAJALIWA

    UWEKAJI VIGINGI PORI LA LOLIONDO HAUTOATHIRI MAENDELEO YA WANANCHI-MAJALIWA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema zoezi la uwekaji wa vigingi katika eneo la kilometa za mraba 1,500 la Pori Tengefu la Poloreti-Loliondo ambalo limekamilika kwa asilimia 100 halitoathiri maendeleo ya wakazi waishio kwenye eneo la vijiji 14 vinavyopakana na eneo hilo. Hata hivyo, Mheshimiwa Majaliwa amesisitiza kwamba hakutakuwepo na kijiji chochote kitakachofutwa na hakuna miundombinu itakayoondolewa kwa kuwa ndani ya eneo la kilometa za mraba 1,500 hakuna miundombinu yoyote. Ameyasema hayo leo

    READ MORE
  • Hotuba ya Waziri Mkuu ya kuahirisha Mkutano wa Saba wa Bunge Juni 30, 2022

    Hotuba ya Waziri Mkuu ya kuahirisha Mkutano wa Saba wa Bunge Juni 30, 20220

    HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB.), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI AKITOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA SABA WA BUNGE LA 12 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 30 JUNI, 2022 UTANGULIZI Shukurani 1.           Mheshimiwa Spika, awali ya yote, nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema ambaye ametuwezesha kuhitimisha shughuli zote

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AONYA UPOTOSHAJI UWEKAJI ALAMA LOLIONDO

    WAZIRI MKUU AONYA UPOTOSHAJI UWEKAJI ALAMA LOLIONDO0

     *Asisitiza hakuna kijiji kitakachohamishwa tarafa ya Loliondo WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania na wana-Loliondo kupuuza upotoshaji unaofanywa na baadhi watu wasiolitakia mema Taifa kuhusu eneo la hifadhi ya Loliondo lililopo Tarafa ya Loliondo na badala yake waendelee kuisikiliza Serikali.  “Kilichotokea si uhalisia, hakuna tishio lolote, wale wameenda msituni kuweka alama katika eneo ambalo liko

    READ MORE
Translate »