• Mipango Kabambe Kuifungua Sekta ya Madini.

    Mipango Kabambe Kuifungua Sekta ya Madini.0

    Zikiwa zimetimia Siku 100 tangu ateuliwe na kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Februari 27, 2023 kuiongoza Wizara ya Madini, Juni 7, 2023, Katibu Mkuu Kheri Mahimbali akizungumza na Watumishi wa Wizara, aliwaeleza Mikakati Kabambe inayolenga kuifanya Sekta ya Madini Kuzalisha Zaidi.Mahimbali alibainisha mikakati mbalimbali inayolenga kuifungamanisha Sekta

    READ MORE
  • Sekta ya utalii itakuwa sekta mama ya uchumi wa Zanzibar.

    Sekta ya utalii itakuwa sekta mama ya uchumi wa Zanzibar.0

    SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ina azma ya kuendeleza nakufikia hatua kubwa zaidi kuifanya sekta ya utalii kuendelea kuwa sektamama ya uchumi wa Zanzibar kwa miaka mitatu ijayo.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyiameyasema hayo kwenye mkutano na wahariri na waandishi wa habari kutokavyombo mbalimbali vya habari, Ikulu,

    READ MORE
  • Wanawake Nchini wameaswa Kuwania Fursa ya Kuchukuwa Mikopo kwa Malengo

    Wanawake Nchini wameaswa Kuwania Fursa ya Kuchukuwa Mikopo kwa Malengo0

    Na Moreen Rojas Dodoma Katibu Mtendaji wa baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) Bi.Beng’i Issa amewaasa wanawake kuchukua mikopo kwa malengo na sikufanya shughuli ambazo zitawakwamisha kurejesha mikopo hiyo.Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma wakati akielezea utekelezaji wa majukumu ya baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC). Aidha amesema kuwa

    READ MORE
Translate »