• Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku  Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

    Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta0

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba,

    READ MORE
  • RAIS MWINYI AMEKUTANA NA UJUMBE WA IMF

    RAIS MWINYI AMEKUTANA NA UJUMBE WA IMF0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. HusseinAli Mwinyi amelipongeza Shirika la Fedha Duniani (IMF), kwakuendelea kuinga mkono Zanzibar katika kuimarisha uchumi wake.Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo Ikulu Zanzibar wakati alipokutana nakufanya mazungumzo na ujumbe wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), ukiongozwana Mshauri wa Shirika hilo wa masuala ya maendeleo Barani

    READ MORE
  • SERIKALI INATAFUTA NJIA MBADALA ZA KUPUNGUZA GHARAMA ZA MAISHA – MAJALIWA

    SERIKALI INATAFUTA NJIA MBADALA ZA KUPUNGUZA GHARAMA ZA MAISHA – MAJALIWA0

    *Aitisha kikao cha kutathmini bei ya mafuta WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutafuta njia mbadala ambazo zitapunguza gharama ya maisha kwa Watanzania kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la dunia. “Nawaomba Watanzania waendelee kuwa watulivu na waiamini Serikali yao kuwa tunaendelea kufanya kila linalowezekana ili kuhakikisha tunapunguza gharama za maisha

    READ MORE
Translate »