- Habari, Kitaifa, Uchumi
- January 5, 2022
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia), akizungumza na Balozi wa Marekani Nchini, Dkt. Donald Wright kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Marekani. Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam, leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
READ MORE- Habari, Kitaifa, Uchumi
- January 5, 2022
WAZIRI WA NCHI AFISI YA RAIS KAZI UCHUMI NA UWEKEZAJI MHE. MUDRIK RAMADHAN SORAGA AMESEMA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR IPO TAYARI KUSHIRIKIANA NA DIASPORA KATIKA UWEKEZAJI ILI KUFIKIA MALENGO YALIYOKUSUDIA AKIZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI NJE YA TANZANIA (DIASPORA) HUKO AFISINI KWAKWE MWANAKWERKWE AMESEMA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR IMEENDELEA KUWEKA SERA NA SHERIA RAFIKI ZA
READ MORE- Habari, Kitaifa, Uchumi
- January 5, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kukopa mikopo yenye tija ili kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo itawanufaisha wananchi na kuwaletea maendeleo. Mhe Rais Samia amesema hayo leo tarehe 04 Januari, 2022, mara baada ya kupokea taarifa za Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na
READ MORE