• CHAMA CHA WANAUME WAZEE TANZANIA CHAZINDULIWA.

    CHAMA CHA WANAUME WAZEE TANZANIA CHAZINDULIWA.0

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amevitaka Vyama vinavyoshughulika na masuala ya Wazee nchini kufanya kazi kwa karibu na Mabaraza ya kisera ya Wazee kupitia mwongozo wa Kitaifa. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Chama cha Wazee Wanaume Tanzania iliyofanyika jijini Dodoma Oktoba 27, 2023, Waziri

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AMEZINDUA MASHINE YA KUCHANGANYA VIRUTUBISHO.

    WAZIRI MKUU AMEZINDUA MASHINE YA KUCHANGANYA VIRUTUBISHO.0

    Kassim Majaliwa amezindua mashine ya kuchanganya virutubisho kwenye vyakula na kuwaomba wadau wote wa maendeleo kuunga mkono juhudi hizo ili kuwezesha mashine hizo kuzalishwa kwa wingi kutumika katika maeneo yote hapa nchini.  Mashine iliyozinduliwa inatumika kuongeza virutubisho muhimu katika vyakula hususan unga wa mahindi, virutubisho hivyo ni pamoja na vitamin B na folic acid ambayo

    READ MORE
  • SERIKALI KUWAJENGEA UWEZO WAKUFUNZI VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII.

    SERIKALI KUWAJENGEA UWEZO WAKUFUNZI VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII.0

    Serikali imesema itaendelea kuwajengea uwezo wakufunzi wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vilivyo chini yake ili waweze kuzalisha wataalamu wenye weledi na sifa stahiki katika kutatua changamoto zilizopo katika jamii.  Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju wakati akifungua mafunzo kwa Wakuu wa

    READ MORE
  • HAKUNA SABABU ZA KUWAKEKETA WASICHANA.0

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Riziki Pembe amesema hakuna sababu ya kuendelea kukiuka haki za binadamu na ukatili kwa wanawake na wasichana kutokana na mila zenye madhara. Mhe. Pembe ameyasema hayo wakati akihitimisha mkutano pili wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala

    READ MORE
  • Dkt.Mahera ameagiza usimamizi wa karibu ujenzi kituo cha Afya Levolos

    Dkt.Mahera ameagiza usimamizi wa karibu ujenzi kituo cha Afya Levolos0

    Naibu katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Wilson Mahera Charles amemwelekeza Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kusimamia kwa karibu ujenzi wa Kituo cha Afya cha Levolosi unaogharimu Sh.Bilioni1.2 ili ukamilike kwa wakati. Dkt. Mahela ametoa maelekezo hayo jijini Arusha baada ya kutembelea kituo hicho ambacho

    READ MORE
  • Tanzania imefanikiwa kudhibiti vitendo vya ukeketaji kwa watoto wa kike.

    Tanzania imefanikiwa kudhibiti vitendo vya ukeketaji kwa watoto wa kike.0

    Tanzania imefanikiwa kudhibiti vitendo vya ukeketaji kwa watoto wa kike 245 kupitia mpaka wa Tanzania na Kenya kwa mkoa wa Mara katika msimu wa ukeketaji mwaka jana.  Hayo yamebainishwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima wakati wa mdahalo kuhusu jitihada zinazofanywa na nchi wanachama wa Umoja

    READ MORE
Translate »