- Afya, Habari, Kitaifa
- October 27, 2023
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amevitaka Vyama vinavyoshughulika na masuala ya Wazee nchini kufanya kazi kwa karibu na Mabaraza ya kisera ya Wazee kupitia mwongozo wa Kitaifa. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Chama cha Wazee Wanaume Tanzania iliyofanyika jijini Dodoma Oktoba 27, 2023, Waziri
READ MORE- Afya, Habari, Kitaifa
- October 26, 2023
Kassim Majaliwa amezindua mashine ya kuchanganya virutubisho kwenye vyakula na kuwaomba wadau wote wa maendeleo kuunga mkono juhudi hizo ili kuwezesha mashine hizo kuzalishwa kwa wingi kutumika katika maeneo yote hapa nchini. Mashine iliyozinduliwa inatumika kuongeza virutubisho muhimu katika vyakula hususan unga wa mahindi, virutubisho hivyo ni pamoja na vitamin B na folic acid ambayo
READ MORE- Afya, Habari, Kitaifa
- October 14, 2023
Serikali imesema itaendelea kuwajengea uwezo wakufunzi wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vilivyo chini yake ili waweze kuzalisha wataalamu wenye weledi na sifa stahiki katika kutatua changamoto zilizopo katika jamii. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju wakati akifungua mafunzo kwa Wakuu wa
READ MORE