
- Afya, Habari, KIJAMII
- September 29, 2023
Mganga Mkuu Mkoa wa Rukwa Dkt. Ibrahim Isack ameipongeza Wizara ya Afya pamoja na wadau mbalimbali ikiwemo Shirika la Afya Duniani( WHO), Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani( UNICEF) pamoja na Save the Children kwa kuweka nguvu za pamoja kufanikisha Kampeni ya Chanjo ya Matone dhidi ya Polio. Dkt. Isack ametoa pongezi hizo Mkoani Rukwa ikiwa
READ MORE
- Afya, Habari, Kitaifa
- September 11, 2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Serikali ya China kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa Tanzania ikiwemo Zanzibar kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo. Dk. Mwinyi ametoa shukurani hizo Ikulu, Zanzibar alipowakabidhi vyeti na medali timu ya madaktari 32 kutoka China waliohudumu kwenye hospitali za Zanzibar kwa kipindi cha
READ MORE
- Afya, Habari, KIJAMII
- September 11, 2023
Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi amesema hatua ya wadau wa afya kuweka kambi za matibabu Zanzibar, itasaidia kuondoa matatizo ya afya yanayowakabili wananchi. Akizungumza na ujumbe wa watendaji wa hospitali ya Kitengule, kutoka Dar es Salaam, ofisini kwake Migombani
READ MORE