• Makamu wa Rais Dkt. Mpango amekabidhiwa tuzo na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali.

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango amekabidhiwa tuzo na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali.0

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akionesha tuzo aliyokabidhiwa na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) wakati wa Kilele cha Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma leo Oktoba 05, 2023.

    READ MORE
  • SERIKALI IMEWEKEZA FEDHA NYINGI KWENYE SEKTA YA AFYA.

    SERIKALI IMEWEKEZA FEDHA NYINGI KWENYE SEKTA YA AFYA.0

    SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya Afya imewekeza fedha nyingi kwenye sekta ya afya ili kuhakikisha hakuna mwananchi atakayekosa huduma bora ya afya. Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu ameyasema hayo Oktoba 3, 2023 kwenye kongamano la afya lililofunguliwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi

    READ MORE
  • Uchangiaji Damu umevuka lengo.

    Uchangiaji Damu umevuka lengo.0

    Timu ya Afya ya Mkoa wa Dodoma imepongezwa kwa kuendelea kufanya vizuri katika suala la uchangiaji damu hadi kuvuka lengo la asilimia 100 lililowekwa na kufikia asilimia 110 kwa sasa.  Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Bi. Ziada Sellah ametoa takwimu hizo leo Oktoba 03, 2023 jijini Dodoma katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete

    READ MORE
  • WATOTO 546,026 WAMEPATA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO.

    WATOTO 546,026 WAMEPATA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO.0

    Mganga Mkuu Mkoa wa Rukwa Dkt. Ibrahim Isack ameipongeza Wizara ya Afya pamoja na  wadau mbalimbali ikiwemo Shirika la Afya Duniani( WHO), Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani( UNICEF) pamoja na Save the Children kwa kuweka nguvu za pamoja kufanikisha Kampeni ya Chanjo ya Matone dhidi ya Polio. Dkt. Isack ametoa pongezi  hizo Mkoani Rukwa ikiwa

    READ MORE
  • Rais Mwinyi amewashukuru Madaktari 32 kutoka China.

    Rais Mwinyi amewashukuru Madaktari 32 kutoka China.0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Serikali ya China kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa Tanzania ikiwemo Zanzibar kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo. Dk. Mwinyi ametoa shukurani hizo Ikulu, Zanzibar alipowakabidhi vyeti na medali timu ya madaktari 32 kutoka China waliohudumu kwenye hospitali za Zanzibar kwa kipindi cha

    READ MORE
  • Kambi za matibabu zitasaidia kuondoa matatizo ya Afya kwa wananchi.

    Kambi za matibabu zitasaidia kuondoa matatizo ya Afya kwa wananchi.0

    Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi amesema hatua ya wadau wa afya kuweka kambi za matibabu Zanzibar, itasaidia kuondoa matatizo ya afya yanayowakabili wananchi. Akizungumza na ujumbe wa watendaji wa hospitali ya Kitengule, kutoka Dar es Salaam, ofisini kwake Migombani

    READ MORE
Translate »