• Kambi za matibabu zitasaidia kuondoa matatizo ya Afya kwa wananchi.

    Kambi za matibabu zitasaidia kuondoa matatizo ya Afya kwa wananchi.0

    Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi amesema hatua ya wadau wa afya kuweka kambi za matibabu Zanzibar, itasaidia kuondoa matatizo ya afya yanayowakabili wananchi. Akizungumza na ujumbe wa watendaji wa hospitali ya Kitengule, kutoka Dar es Salaam, ofisini kwake Migombani

    READ MORE
  • WAKUU WA MIKOA ONGEZENI KASI YA KUDHIBITI UKATILI KWA WATOTO.

    WAKUU WA MIKOA ONGEZENI KASI YA KUDHIBITI UKATILI KWA WATOTO.0

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewasisitiza Wakuu wa Mikoa nchini kuendelea kuishikilia Ajenda ya kupambana na mmomonyoko wa maadili, vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto na uwezeshaji wanawake kiuchumi katika maeneo yao. Mhe. Dkt. Gwajima amesisitiza hayo Agosti 26, 2023 kwenye mkutano wa mafunzo

    READ MORE
  • LAKE AGRO WAFADHILI UPASUAJI WA NGIRI MAJI (MABUSHA) RUFIJI

    LAKE AGRO WAFADHILI UPASUAJI WA NGIRI MAJI (MABUSHA) RUFIJI0

    Jopo la Madaktari Bingwa 6 waongoza Kambi ya siku tatu ya upasuaji wa Ngiri Maji (Mabusha) kwa Zaidi ya wananchi 50 bila malipo katika Hospitali ya wilaya ya Utete chini ya ufadhili wa wawekezaji wa kilimo cha miwa na Kiwanda cha Sukari Rufiji (lake Agro). Meneja Rasimali watu kutoka Kampuni ya Lake Agro Innocent Mwaipopo

    READ MORE
Translate »