• ”WATUMISHI 10,462 WAMEAJIRIWA” Naibu Waziri Dkt. Festo.

    ”WATUMISHI 10,462 WAMEAJIRIWA” Naibu Waziri Dkt. Festo.0

    Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) amesema Serikali imeajiri watumishi wa kada za Afya 10,462 Katika kipindi cha mwaka 2020/21 na 2021/22 na kuwapanga kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuzingatia Uhitaji. Amesema hayo leo tarehe 07 Februali 2023 Bugeni Dodoma wakati akijibu Swali la Mbunge wa Jimbo la

    READ MORE
  • KITUO CHA UPANDAKIZAJI MIMBA CHAZINDULIWA DAR ES SALAAM

    KITUO CHA UPANDAKIZAJI MIMBA CHAZINDULIWA DAR ES SALAAM0

    • Afya
    • February 6, 2023

    Na. WAF – DAR ES SALAAM Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema  Kituo cha Huduma za Upandikizaji Mimba Kairuki Green IVF, Bunju  kitatatua changamoto ya Watanzania kwenda nje ya nchi kwa gharama kubwa kufata huduma hizo. Dkt. Mwinyi amebainisha hayo February 06 2023 Jijini Dar es Salaam

    READ MORE
  • Lindi inapiga hatua kupunguza vifo vya mama na mtoto.

    Lindi inapiga hatua kupunguza vifo vya mama na mtoto.0

    MKOA wa Lindi umepiga hatua ya kupunguza vifo vya mama na mtoto kabla, wakati na baada ya kujifungua kutoka vifo 47 mwaka 2021 hadi vifo 32 mwaka 2022 ikiwa ni tofauti ya vifo 15 kwa mwaka. Hayo yamebainishwa 5 Februari 2023 na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Dkt. Kheri Kagya katika kikao kazi cha

    READ MORE
Translate »