- Afya, Habari, Kitaifa
- June 25, 2023
Mke wa Rais wa Zanzibar mama Mariam Mwinyi amesema michezo ina nafasi kubwa katika kujenga mwili na kulinda afya dhidi ya maradhi mbali mbali. Akizungumza katika Bonanza liloandaliwa na umoja wa wanawake wilaya ya Amani Mama Mariam amesema ikiwa wananchi watajenga utamaduni kushiriki michezo na kufanya mazoezi kutasaidia kujikinga magonjwa mbali mbali . Amesema kumekuwa
READ MORE- Afya, Habari, Kitaifa
- June 24, 2023
Mganga Mkuu wa Manispaa ya Mpanda iliyopo mkoani Katavi, Dkt. Paul Swakala amesema anatarajia baada ya watumishi wa afya wa kituo cha Ilembo kupata mafunzo, ubingwa na uwezo kutoka kwa Madaktari Bingwa walioletwa na Serikali kituoni hapo, ataweka mikakati ya kuendeleza ubingwa watakaoachiwa ambapo mbali na mafunzo, yapo mambo mengi ambayo wameyaweka sawa ikiwemo namna
READ MORE- Afya, Habari, Kitaifa
- June 22, 2023
Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ujiji kilichopo mkoani Kigoma, Dkt. Edwin Muchunguzi amesema kuwa ujuzi na mafunzo yanayoendelea kutolewa na Madaktari Bingwa waliosambazwa katika baadhi ya vituo vya afya nchini kwa ajili ya kuwajengea uwezo watumishi wa vituo hivyo katika eneo la huduma ya mama na mtoto, yatasaidia kupunguza foleni ya wakina mama na
READ MORE