• WIZARA YA AFYA YAJA NA UBUNIFU WA KUTUMIA LUGHA  MAMA  ELIMU YA SURUA KATAVI

    WIZARA YA AFYA YAJA NA UBUNIFU WA KUTUMIA LUGHA MAMA ELIMU YA SURUA KATAVI0

    Na.Elimu ya Afya kwa Umma, Mpimbwe Katavi. Wizara ya Afya, Idara ya Kinga, Elimu ya Afya Kwa Umma kwa kushirikiana na Halmashauri ya Mpimbwe waanza uelimishaji umuhimu wa Chanjo ya Surua kwenye mikusanyiko ya watu  kwa kutumia  ubunifu wa Kabila la Asili la Kisukuma. Hatua hiyo ni kuhakikisha kila jamii inafikiwa  na Ujumbe ambapo  uelimishaji Kwa kutumia magari ya

    READ MORE
  • MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA SONGWE

    MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA SONGWE0

    Na Mwandishi Wetu Songwe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  Februari 13, 2023 ameanza ziara ya kikazi ya siku tatu katika Mkoa wa Songwe ambapo akiwa katika kijiji cha Kaloleni kata ya Mkwajuni ameweka jiwe la msingi la hospitali ya wilaya ya Songwe.Ujenzi wa hospitali hiyo ambao umegharimu shilingi bilioni 3.5 mpaka sasa imefikia asilimia 95 ya

    READ MORE
  • UNGANENI PAMOJA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA BORA ZA AFYA NGAZI YA JAMII

    UNGANENI PAMOJA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA BORA ZA AFYA NGAZI YA JAMII0

    • Afya
    • February 11, 2023

    Kaimu Katibu Tawala  wa mkoa  wa Pwani Bi.Savera Salvatory akizungumza katika  ufungaji wa  hafla ya kutembelea  mradi wa Afya Tek na Usimamizi Shirikishi  juu ya Masuala ya Afya katika halmashauri na Manispaa ya Kibaha . Kiongozi wa Mradi wa Afya –Tek Dkt.Angel Dillip  ikiwa ni katika hafla ya majumuisho mara baada ya  kutembelea  mradi wa Afya Tek na Usimamizi Shirikishi  juu ya Masuala ya

    READ MORE
  • Timu ya madaktari bingwa imewasili Zanzibar kuongeza nguvu katika sekta ya Afya.

    Timu ya madaktari bingwa imewasili Zanzibar kuongeza nguvu katika sekta ya Afya.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ujio wa madaktari bingwa kutoka China ni fursa adhimu kuimarisha sekta ya Afya Zanzibar. Dk. Mwinyi amesema timu ya madaktari bingwa kutoka China imewasili Zanzibar kuongeza nguvu katika sekta ya Afya kwa kutoa wataalamu mbalimbali wakiwemo Madaktari bingwa wa operesheni bila

    READ MORE
  • ”WATUMISHI 10,462 WAMEAJIRIWA” Naibu Waziri Dkt. Festo.

    ”WATUMISHI 10,462 WAMEAJIRIWA” Naibu Waziri Dkt. Festo.0

    Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) amesema Serikali imeajiri watumishi wa kada za Afya 10,462 Katika kipindi cha mwaka 2020/21 na 2021/22 na kuwapanga kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuzingatia Uhitaji. Amesema hayo leo tarehe 07 Februali 2023 Bugeni Dodoma wakati akijibu Swali la Mbunge wa Jimbo la

    READ MORE
  • KITUO CHA UPANDAKIZAJI MIMBA CHAZINDULIWA DAR ES SALAAM

    KITUO CHA UPANDAKIZAJI MIMBA CHAZINDULIWA DAR ES SALAAM0

    • Afya
    • February 6, 2023

    Na. WAF – DAR ES SALAAM Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema  Kituo cha Huduma za Upandikizaji Mimba Kairuki Green IVF, Bunju  kitatatua changamoto ya Watanzania kwenda nje ya nchi kwa gharama kubwa kufata huduma hizo. Dkt. Mwinyi amebainisha hayo February 06 2023 Jijini Dar es Salaam

    READ MORE
Translate »