• TAWA YAWASIHI WANANCHI KUWA NA DESTURI YA KUFANYA UTALII WA NDANI

    TAWA YAWASIHI WANANCHI KUWA NA DESTURI YA KUFANYA UTALII WA NDANI0

    Na Mwandishi wetu-Dar es Salaam Maafisa Wakike wa TAWA wakiendelea na Zoezi la kutoa elimu Kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na TAWA pamoja na elimu kuhusu Wanyamapori Kwa wananchi wanaojitokeza katika banda la TAWA kwenye Maonesho ya 46 ya Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Mwl. Nyerere. Maafisa wa wakike wa TAWA wanekuwa

    READ MORE
  • MAFUNZO YA SENSA YAMEANZA RASMI LEO

    MAFUNZO YA SENSA YAMEANZA RASMI LEO0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Mafunzo ya SENSA katika ngazi ya Mikoa yanayowashirikisha wataalamu kutoka Tamisemi pamoja na waratibu wa SENSA wa Wilaya, Maafisa Elimu Mikoa na wilaya, wataalamu wa Tehama wa Wilaya, Maafisa mipango wilaya,Maafisa Maendeleo Jamii wilaya, Waratibu Elimu kata pamoja na wawakilishi kutoka vyama vya watu wenyeulemavu yameanza kufanyika leo hapa nchini ambayo

    READ MORE
  • RAIS SAMIA ATOA POLE KWA WANANCHI WALIOATHIRIWA NA TEMBO

    RAIS SAMIA ATOA POLE KWA WANANCHI WALIOATHIRIWA NA TEMBO0

    , )  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mzee Athumani Mohamed Nkabuye wakati alipokagua shamba la mtama la mzee huyo ambalo limeharibiwa na tembo waliokula zao hilo katika kijiji cha Namapuya wilayani Nachingwe, Julai 6, 2022. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa Lindi, Zainab Telack na kula ni Mkuu wa wilaya ya Nachingwea, Hashim Abdallah Komba.

    READ MORE
Translate »