- Habari, Kitaifa
- March 14, 2024
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea tuzo kwa niaba ya Rais Samia ya kutambua mchango wa Mheshimiwa Rais katika kuwezesha wananchi kutumia nishati safi ya kupikia, kwenye Mkutano wa Wanawake wa kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa Kinara wa Nishati Safi ya kupikia, Mazingira na Afya ya Mama na Mtoto, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam MachiREAD MORE- Habari, Kitaifa
- March 14, 2024
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuhakikisha usalama wa nchi na mipaka yake dhidi ya majanga mbalimbali unaendelea kuimarishwa ili kujiandaa na kuwa na utayari wa kukabiliana na majanga, maafa na dharura yoyote. Ametoa kauli hiyo leo (Alhamisi, Machi 14, 2024) wakati wa ufungaji wa mafuzo ya zoezi la utayari dhidi ya dharura za kikemikali
READ MORE- Habari, Kitaifa
- March 14, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye tamasha la wanawake Sekta ya Fedha ambalo limefanyika Kizimkazi, Zanzibar tarehe 14 Machi, 2024. Tamasha hilo limeandaliwa na Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha (TAWiFA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Mwanamke Initiatives (MIF) pamoja na TIR. Rais wa Jamhuri ya MuunganoREAD MORE