
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), amewataka Wananchi hasa wa Makundi maalum kutumia fursa zinazotolewa na benki za ndani ya nchi ili kujikwamua kiuchumi.Akizungumza wakati alipotembelea benki ya NMB Makao Makuu Jijini Dar es salaam, 24 Januari 2023, Waziri Gwajima amebaini fursa mbalimbali zinazotolewa na benki
READ MORE
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya Kazi Wakuu wa Wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye vituo vyao. Kati ya Wakuu wa Wilaya hao 140, Wanawake ni 40 na Wanaume ni 100 ambao ni
READ MORE
- Habari, Kitaifa
- January 25, 2023
Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Taifa la Zanzibar,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiongoza Mkutano Mkuu wa Tano wa Baraza la Biashara la Taifa ,lililofanyika Ikulu Zanzibar. Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Taifa la Zanzibar,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiongozaREAD MORE