Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Minara ya Kurusha matangazo ya Televisheni Ardhini (DTT) ya Kampuni ya Azam Media Ld, leo Mei 18, 2023 jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiria uzinduzi wa barabara ya Wasso – Sale yenye urefu wa kilometa 49 wakati akiwa katika ziara wilayani Ngorongoro, mkoa wa Arusha leo tarehe 17 Mei 2023. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip MpangoREAD MORE
Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri anayeshughulikia masuala ya Nyumba nchini Misri, Mhe. Hassem El Gazzar, mjumbe maalum kutoka kwa Rais wa Misri, Mhe. Abdel Fattah El Sisi, ambaye aliambatana na ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei 2023. Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenyeREAD MORE