RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Yanga imepata ushindi huo dhidi ya ASAS ya Djibouti katika mchezo wa Hatua ya Awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Azam Complex Jijini Dar es Salaam Kwa matokeo haya Yanga imesonga mbele kwa magoli 7-1 kwa kuwa katika mchezo wa kwanza baina ya timu hizo ilishinda 2-0 Raundi ya Pili, Yanga inatarajiwa
READ MOREUshindi huo umepatikana kwa njia ya penati 3-1 baada ya matokeo ya 0-0 katika dakika 90 za mchezo wa kuikaribisha Ligi Kuu Bara Msimu wa 2023/2024 uliopigwa kwenye Uwanja wa #Mkwakwani, #TangaWaliofunga penati upande wa #Simba ni Muzamiru Yassin, Willy Onana na Jean Baleke, waliokosa ni Saidi Ntibazonkiza na Moses Phiri Aliyefunga upande wa #Yanga
READ MOREKlabu ya Simba SC imeungana na Yanga SC kwenye fainali ya Ngao ya Jamii 2023 kufuatia ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Singida Fountain Gate FC kwenye nusu fainali baada ya kutoka Sare ya kutofungana ndani ya dakika 90. Singida Fountain Gate FC itachuana na Azam FC kutafuta nafasi ya tatu. FT: SIMBA SC 0-0
READ MOREFT: Yanga SC 2-0 Azam FC⚽ Aziz Ki 85′⚽ Mzize 89′ Yanga imetinga fainali ya Ngao ya Jamii 2023 kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Azam FC kwenye nusu fainali. Yanga imetangulia fainali kusubiri mshindi wa nusu fainali ya pili kati ya Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate FC utakaopigwa kesho Agosti 10, 2023
READ MORE