
Timu ya netiboli ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ‘TAMISEMI QUEENS’ imejigamba kufanya vizuri katika michuano ya netiboli ligi daraja la kwanza iliyopangwa kufanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 18 hadi 29 julai 2021. Mwenyekiti wa Klabu ya Michezo ya TAMISEMI Philbert Rwakilomba amesema kuwa timu yake imejiandaa vizuri kwenye michuano
READ MORE
Na Octavian Kimario,Arusha Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Pauline Gekul amesema kuwa Serikali inaendelea kuiwezesha timu ya Riadha ili iweze kufanya vyema katika mashindano ya ndani na Kimataifa. Mhe. Gekul amesema hayo Julai 11, 2021 Jijini Arusha alipowakibidhi wachezaji wa Timu ya Taifa ya Riadha bendera ya Taifa, vifaa vya michezo pamoja na tiketi
READ MORE
https://youtu.be/G9VuWkfRlro https://youtu.be/-UeiJxPWGjsREAD MORE