• Simba waishtaki Al-Merrikh kwa CAF

    Simba waishtaki Al-Merrikh kwa CAF0

    Klabu ya Simba imeutaarifu Umma kuwa Imepeleka barua Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika kuomba uchunguzi kuhusu Klabu ya Al-Merrikh ya Sudan kuwachezesha wachezaji waliofungiwa.

    READ MORE
  • BASKETBALL KARUME CUP KUANZA MACHI 10

    BASKETBALL KARUME CUP KUANZA MACHI 100

    Kombe la karume Cup kwa mwaka 2021 linatarajiwa kuanza tarehe 10/03/2021 kisiwani Pemba na tarehe 15/03/2021 Unguja. Jumla ya timu 7 za WANAUME kwa Pemba zinatarajiwa kushiriki Kombe hilo na timu 8 za WANAUME NA 4 za WANAWAKE kwa Upande wa Unguja. Pemba watacheza kwa mtindo wa ligi na timu mbili za kwanza zitaingia hatua

    READ MORE
  • KMC FC WAREJEA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, KUENDELEA NA MAZOEZI KESHO

    KMC FC WAREJEA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, KUENDELEA NA MAZOEZI KESHO0

    Kikosi cha KMC FC kimerejea jijini Dar es Salaam leo kikitokea mkoani Tanga ikiwa ni baada ya kumalizika kwa mchezo wa jana dhidi ya Coast Union uliopigwa katika uwanja wa Mkwakwani na kumalizika kwa sare ya kutokufungana. KMC FC imerejea Jijini Dar es Salaam ambapo kesho itaendelea na mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo

    READ MORE
Translate »