Stendi ya mabasi Mbezi kuanza Kutumika rasmi Novemba 30 mwaka huu 2020.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge amesema ujenzi wa kituo kipya cha mabasi ya mikoani cha Mbezi Louis jijini Dar es Salaam umefikia asilimia 90 na kituo kitaanza majaribio ya kwanza Novemba 25 na kuanza kutumika rasmi Novemba 30 mwaka huu.  Kutokana na hilo RC Kunenge ametoa wito kwa wananchi na wafanyabiashara

Mkuu wa Mkoa wa Dar ES Salaam, Aboubakar Kunenge.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge amesema ujenzi wa kituo kipya cha mabasi ya mikoani cha Mbezi Louis jijini Dar es Salaam umefikia asilimia 90 na kituo kitaanza majaribio ya kwanza Novemba 25 na kuanza kutumika rasmi Novemba 30 mwaka huu. 

Muonekano wa Stendi mpya Mbezi Louis– Dar ES Salaa.m

Kutokana na hilo RC Kunenge ametoa wito kwa wananchi na wafanyabiashara kuchangamkia fursa zinazopatikana kwenye kituo hicho ikiwemo fremu za maduka, migahawa, ofisi, huduma za kifedha, supermarket, ofisi za kukata tiketi na hoteli ambapo tarehe za kutuma maombi ni 9-25 Novemba.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »