Serikali imesema kuwa itasimamia sheria na taratibu iliyojiwekea kwenye usimamizi wa mazao mbalimbali ikiwemo miwa, hivyo haitatoa kibali kwa wafanyabiashara wa sukari badala yake kibali kitatolewa kwa wazalishaji wa ndani kama kutakuwa na uhitaji. Imebainisha kuwa kwa sasa nchini kuna ziada ya Tani Zaidi ya 70,000 za sukari hivyo serikali haiwezi kutoa kibali chochote cha
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *