WAJUMBE KAMATI YA SIASA CCM WAKIPOKEA TAARIFA UJENZI WA BWAWA LA UMEME MTO RUFIJI

WAJUMBE KAMATI YA SIASA CCM WAKIPOKEA TAARIFA UJENZI WA BWAWA LA UMEME MTO RUFIJI

Wajumbe wa Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani wakiwa na kamati za siasa za Wilaya ya Kibiti na Rufiji wakipokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa kufua umeme katika Bwawa la Mwalimu Nyerere la Rufiji mkoani Pwani Walipotembelea kukagua thamani ya fedha za serikali zinaendana na kazi inayofanywa.

Wajumbe wa Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani wakiwa na kamati za siasa za Wilaya ya Kibiti na Rufiji wakipokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa kufua umeme katika Bwawa la Mwalimu Nyerere la Rufiji mkoani Pwani Walipotembelea kukagua thamani ya fedha za serikali zinaendana na kazi inayofanywa.

Kamati hizo za siasa za CCM zinaongozwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Pwani Ramadhani Maneno.

Na Scolastica Msewa

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »